Kwanza tuanzie hapo,ni nani aliyekwambia kwenye hizo interview ulizoenda kufanya ilikuwa una faulu?au huwa unaenda kwenye usahili na matokeo yako?lakini pia thibitisha connection unayoisema watu hupeana tofauti na uwezo wako.
TALA ndiyo wasumbufu lakini branch hawana longolongo Wala hawana Mambo ya barua mimi nakula mkopo branch fasta ukikamklisha kujisajili mzigo unaingia kwenye simu yako.
Nawasalimu wote.
Uzi wangu wa leo utajikita kwenye ombi la maboresho kwenye hii Bank inayosimamiwa na ndugu Abdulmaji
Binafsi ni mteja wa hii Bank miaka mingi nimewavumilia kwenye kila kasoro ambayo nimekuwa nikikutana nayo nifuatapo huduma kwenye branch zao mbalimbali hapa nchini.
Kama...
Huyo Abdul Mteketa alikuwa Mbunge wa Kilombero, Mkoani Morogoro na Sasa ni marehemu baada ya kuugua sana na mwisho wake aliishiwa mpaka alikosa pesa ya matibabu pale Muhimbili na kuomba msaada kwa mh.hayati JPM.
Huyo Charles Mtawali ni tajiri mmoja hivi aliwika na mpaka sasa nafikiri yuko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.