Ndugu zangu nauliza swali naomba anaejua anijibu, kuna rafiki yangu nikati ya walimu wapya amepata mtu wa Kubadilishana nae sasa hajajua kama hili swala la Kubadilishana linawahusu walimu waliofanya kazi kwa muda flani au ata wapya wanaweza Kubadilishana, kwa anaejua naomba atusaidie
Ndugu zangu naomba kuuliza, ivi hili swala la Kubadilishana vituo vya kazi nikwaajili ya walimu waliopo kazini kwa muda flani au hata hawa waalimu walioajiliwa sasaivi nao wanaweza kubadilishana
Kunahaja ya kupitia upya mitaala yetu,mitaala yetu kwakiasi kikubwa anachokisoma mwanafunzi sio kile anachoenda kukifanya mtaani au kazini,hali hii imejitokeza mpaka vyuo vikuu kuna baadhi ya course ni majina tu lakini hazimuandai mwanafunzi kupambana na uhalisia uliopo mtaani au kazini
Kijana acha kubisha ili uonekane tu unajua kubisha wakati huna uhakika na unachoongea, nina rafiki zangu wawili wamemaliza degree zao mwaka jana nakuunganisha moja kwa moja kusoma Pgde Chuo kikuu cha Iringa,
degree zaozakwanza wamesoma UDOM na mipango yao ilikuwa nikujiunga palepale UDOM so...
Waziri mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Pinda amempongeza mbunge wa Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa kwa kutoa msaada wa vitanda katika hosipitali ya wilaya ya Iringa mjini iliyopo maeneo ya Frelimo, Pongezi hizo mheshimiwa waziri amezitoa siku ya jumapili alipoitembelea...
Napenda kuwashauri wale ndugu zangu waliosoma course tofauti na uwalimu na wako mtaani wakizunguka na bahasha za kaki,
Kutokana na tatizo la ajira kugeuka kuwa janga la kitaifa na serikali imetangaza mwaka huu kuajiri zaidi ya walimu elfu 30 napenda kuwashauri ndugu zangu muombe kujishikiza...
Wewe kweli............ Huoni hats aibu kucoment, ngoja nikuulize ivi katibu mkuu na Waziri mkuu nani mwenye mamlaka, halafu huyo katibu mkuu ulimsikia wewe peke yako?
Pinda amezungumza akiwa katika shule ya sekondari Kiwere navyombo vya habari hususani magazeti ya Leo karibia yote yameandika...
Chifu mpya wa kabila la Wahehe atasimikwa Leo, ni mtoto wa kwanza Wa marehemu Chifu Abdu Adam Sapi Mkwawa, ni kijana wa miaka kumi na nne lakini atapokea kiti hicho rasmi mwaka 2018 kwasasa atashikilia baba yake mdogo mpaka 2018.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.