Recent content by kilimobiznet

  1. kilimobiznet

    Kilimo cha zao la Ufuta: Masoko, Mbinu na Ushauri Toka kwa Wadau

    Kwanza tafuta bwana shamba ama mtaalamu wa kilimo muende nae shambania aangalie hilo eneo. Pia ni vyema ukafanya utafiti jirani zako. Wanalima nini lini na msimu gani
  2. kilimobiznet

    Jisajili mapema: mafunzo ya kilimo biashara cha mbaazi

    JISAJILI MAPEMA: MAFUNZO YA KILIMO BIASHARA CHA MBAAZI KUPITIA WHATSAPP Tanzania graduate Farmers Association www.graduatefarmers.co.tz kwa kushirikiana na Kampuni ya ushauri wa kitaalam ya Kilimo BUsiness and Associates wanakukaribisha kwenye DARASA HURU la wiki nzima la kupata ushauri na...
  3. kilimobiznet

    Nunua/agiza sasa Mbegu bora za Mbaazi

    Tunazo ndugu weka oda
  4. kilimobiznet

    Nunua/agiza sasa Mbegu bora za Mbaazi

    Tunazo weka oda ndugu...
  5. kilimobiznet

    Muhtasari wa kilimo cha baadhi ya mazao jamii ya kunde

    Salaam sana wajasiria Kilimo, Kujiunga katika masomo hayo tafadhali jaza fomu hii https://goo.gl/forms/wg3afYbHrEDwbGNJ2 kwa mtandao ama tuma sms ama email yenye ujumbe wenye 1. jina Lako kamili 2.Namba ya simu 3. zao unalotaka kulima ama kuzalisha 4. eneo la mradi ama jina la kijiji unataka...
  6. kilimobiznet

    Nunua/agiza sasa Mbegu bora za Mbaazi

    Inategemea na eneo lako na soko lako ama unalotarajia... Mbegu zinapatikana ukitoa oda unaletewa ama unapewa maelekezo mahali pa kuchukulia karibu na wewe
  7. kilimobiznet

    Pata Mbegu bora za Mbaazi, Choroko, Dengu na ushauri wa Kilimo Biashara

    Okay sawa ila mfano mtu akiweza ku maintain gharama za uzalishaji kwa kg kuwa sh 350 mpaka 400 halafu akauza kwa sh 700 mpaka mia 800 ama zaidi ana faida
  8. kilimobiznet

    Zao la Mbaazi lashuka Bei kwa kiwango cha hali juu

    Na gharama zabuzalishaji je...
  9. kilimobiznet

    Kilimo Cha Mbaazi

    Mbegu zinapatikana nchi nzima... Weka oda yako kwa kupitia Graduate farmers upatiwe na ushauri
  10. kilimobiznet

    Pata Mbegu bora za Mbaazi, Choroko, Dengu na ushauri wa Kilimo Biashara

    Habari Ndugu, Mbegu ya mbaazi inategemea na aina. Ya muda mfupi ni sh 5800 na ya muda mrefu na wa kati ni sh 6300. Mbegu yaweza pungua bei kulingana na uwepo sokoni kwani bado ziko shambani zinavunwa halafu zikakaushwe na kufanyiwa vipimo. Mwezi wa 9 katikati mbegu zitaanza kuuzwa
  11. kilimobiznet

    Pata Mbegu bora za Mbaazi, Choroko, Dengu na ushauri wa Kilimo Biashara

    Habari wadau, Salam kutoka Kilimo Business na Sekretarieti ya Chama cha wakulima wahitimu Tanzania (Tanzania Graduate Farmers Association www.graduatefarmers.co.tz). Kwa niaba ya sekretatiat ya TGFA na Kilimo Business tunapenda kuwatangazia kuwa Kilimo Business and Associates kwa Kushirikiana...
  12. kilimobiznet

    Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine

    Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine Mbegu za mbaazi, dengu, Maharage na mikunde mingine
  13. kilimobiznet

    Fursa za mikunde kibiashara, afya na ardhi

    DONDOO MUHIMU.... MIKUNDE KWA FAIDA KIBIASHARA, AFYA NA UTUNZAJI ARDHI Je unafahamu mimea jamii ya mikunde? Je unadhani kuna aina ngapi za mimea jamii ya mikunde ukiachana na mbaaazi, Dengu, Choroko, Maharage, Kunde? Je unafaham fursa za kibiashara zibnazopatikana katika Kukuza, Kuuza...
  14. kilimobiznet

    Fursa za mikunde kibiashara, afya na ardhi

    MIKUNDE KWA FAIDA KIBIASHARA, AFYA NA UTUNZAJI ARDHI Utangulizi.... Je unafahamu mimea jamii ya mikunde? Je unadhani kuna aina ngapi za mimea jamii ya mikunde ukiachana na mbaaazi, Dengu, Choroko, Maharage, Kunde? Je unafaham fursa za kibiashara zibnazopatikana katika Kukuza, Kuuza, Kununua...
  15. kilimobiznet

    Kwanini serikali itupangie bei ya mazao yetu?

    Hivi kwani huyo kiongozi ama waziri ama mkurugenzi wa Wilaya alikuwepo wakati unaandaa mpango wako W Biashara?! Ndugu wakulima na Wajasiriakilimo wenzetu naomba tuamke tujue biashara zetu tuwawezeshe wakulima na Vikundi vya wakulima kujua namna ya kupanga bei na hata kutoa mapendekezo ya bei...
Back
Top Bottom