Kwanza tafuta bwana shamba ama mtaalamu wa kilimo muende nae shambania aangalie hilo eneo.
Pia ni vyema ukafanya utafiti jirani zako. Wanalima nini lini na msimu gani
JISAJILI MAPEMA:
MAFUNZO YA KILIMO BIASHARA CHA MBAAZI KUPITIA WHATSAPP
Tanzania graduate Farmers Association www.graduatefarmers.co.tz kwa kushirikiana na Kampuni ya ushauri wa kitaalam ya Kilimo BUsiness and Associates wanakukaribisha kwenye DARASA HURU la wiki nzima la kupata ushauri na...
Salaam sana wajasiria Kilimo,
Kujiunga katika masomo hayo tafadhali jaza fomu hii https://goo.gl/forms/wg3afYbHrEDwbGNJ2 kwa mtandao ama tuma sms ama email yenye ujumbe wenye 1. jina Lako kamili 2.Namba ya simu 3. zao unalotaka kulima ama kuzalisha 4. eneo la mradi ama jina la kijiji unataka...
Inategemea na eneo lako na soko lako ama unalotarajia... Mbegu zinapatikana ukitoa oda unaletewa ama unapewa maelekezo mahali pa kuchukulia karibu na wewe
Okay sawa ila mfano mtu akiweza ku maintain gharama za uzalishaji kwa kg kuwa sh 350 mpaka 400 halafu akauza kwa sh 700 mpaka mia 800 ama zaidi ana faida
Habari Ndugu,
Mbegu ya mbaazi inategemea na aina. Ya muda mfupi ni sh 5800 na ya muda mrefu na wa kati ni sh 6300. Mbegu yaweza pungua bei kulingana na uwepo sokoni kwani bado ziko shambani zinavunwa halafu zikakaushwe na kufanyiwa vipimo.
Mwezi wa 9 katikati mbegu zitaanza kuuzwa
Habari wadau,
Salam kutoka Kilimo Business na Sekretarieti ya Chama cha wakulima wahitimu Tanzania (Tanzania Graduate Farmers Association www.graduatefarmers.co.tz).
Kwa niaba ya sekretatiat ya TGFA na Kilimo Business tunapenda kuwatangazia kuwa Kilimo Business and Associates kwa Kushirikiana...
DONDOO MUHIMU....
MIKUNDE KWA FAIDA KIBIASHARA, AFYA NA UTUNZAJI ARDHI
Je unafahamu mimea jamii ya mikunde? Je unadhani kuna aina ngapi za mimea jamii ya mikunde ukiachana na mbaaazi, Dengu, Choroko, Maharage, Kunde?
Je unafaham fursa za kibiashara zibnazopatikana katika Kukuza, Kuuza...
MIKUNDE KWA FAIDA KIBIASHARA, AFYA NA UTUNZAJI ARDHI
Utangulizi....
Je unafahamu mimea jamii ya mikunde? Je unadhani kuna aina ngapi za mimea jamii ya mikunde ukiachana na mbaaazi, Dengu, Choroko, Maharage, Kunde?
Je unafaham fursa za kibiashara zibnazopatikana katika Kukuza, Kuuza, Kununua...
Hivi kwani huyo kiongozi ama waziri ama mkurugenzi wa Wilaya alikuwepo wakati unaandaa mpango wako W Biashara?!
Ndugu wakulima na Wajasiriakilimo wenzetu naomba tuamke tujue biashara zetu tuwawezeshe wakulima na Vikundi vya wakulima kujua namna ya kupanga bei na hata kutoa mapendekezo ya bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.