Recent content by kilimatinde

  1. kilimatinde

    Nina huzuni, mpwa wangu anarudi mtaani baada ya kukosa mkopo na mimi kushindwa kumlipia

    Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu! Mleta mada wewe ni mpumbavu ndiyo nasema tena wewe ni mpumbavu ..na upumbavu ndiyo unaokuangamiza. Acha rais wetu afanye kazi ...huyu mpwa wako siyo wa kwanza kukosa mkopo ,na pia awamu zingine wapo waliokoasa mkopo pamoja kuwa rais wa awamu hiyo hakununua...
  2. kilimatinde

    Pendekezo: Kiingilio Ubungo Bus Terminal kiongezwe kufiikia 1,000/mtu

    Kwanza kiingilio cha wasikizaji ni sh 300 na siyo 200 na private cars ni 500 siyo 300. Halafu wasindikizaji wakiingia mule au magari hayatumii umeme , huduma zote mule zinalipiwa kama choo nk. Sasa hizo huduma zilizopanda ni zipi zinazosababishwa na wasindikiza/private cars? Acheni upoyoyo na...
  3. kilimatinde

    Askari wa Jeshi la Polisi akatwa uume na mkewe mkoani Shinyanga

    Zamu yao polisi wamezoea kuuwa wenzi wao kwa tutu. Japo huyo mwanamke ana roho ya kinyama kuliko mnyama mwenyewe -
  4. kilimatinde

    Tetesi: Kikao cha dharura cha wakuu wa vyuo vyote vikuu nchini kinaendela mjini Dodoma , kuna tatizo kubwa

    Ubinashi ni asili yako? Unaishi dunia gani? Suala uwezo wa wahitimu wa miaka hii ni afadhali ukutane na mwanafunzi wa kidato cha tatu wa miaka ya tisini. Yaani ni shida. Elimu imeporomoka sana -
  5. kilimatinde

    Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

    Basi tufanye Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure!
  6. kilimatinde

    Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

    Kama wali mbwa wa polisi
  7. kilimatinde

    Ngozi ya chatu ni zaidi ya uijuavyo

    Hata mbwa wa kizungu nawenyewe wanajipeleka kwa chatu?
  8. kilimatinde

    Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

    Natamani ungekuwa unaniuliza mie hilo swali ningelijibu lote kbsa
  9. kilimatinde

    Manyara: RC Munyeti apiga marufuku umoja wa watu wa Kilimanjaro mkoani kwake

    Hivi wewe ni nani? haswa mpaka umtake Rais amtengue Mnyeti? Kama unapenda ukabila nenda Burundi au Rwanda au Kenya lkn Tanzania hatuna ujinga huo na wala hatutaki kuuruhusu
  10. kilimatinde

    Simba SC Yamfuta kazi Kocha Mkuu, Patrick Aussems

    Hauwezi kuwatoka kamwe maana Rage alishawalaani
  11. kilimatinde

    Wanawake acheni tabia ya kuwaambia wanaume wakaoge ndipo mfanye mapenzi

    Ni Mbegu bhana! Ilipandwa ndo ukaota wewe so usiseme uchafu
  12. kilimatinde

    Ndele; faida na madhara yake

    Wakija usiyowataka kwani kuwakataa huwezi?
  13. kilimatinde

    NATAKA NIMUOE WAZAZI WAKE WANALETA PINGAMIZI

    Utakuwa hujapenda wewe na pengine huna nia nzuri nae sioni sababu ya kukufanya et ususe kwa mzazi aliyemakini hawezi kumruhusu binti yake kirahisi hivyo
  14. kilimatinde

    NATAKA NIMUOE WAZAZI WAKE WANALETA PINGAMIZI

    Panga siku ya kulipa mahali, nenda na wazazi wako kwa binti kabla ya kulipa mahali wamuone ndipo mjadiliane kama wameridhika toa mahali vinginevyo utaamua mwenyewe.. Kingine point ya wazazi wako kutaka kumuona binti ipo kimtego ina maana wasiporidhishwa nae watakuzuia kumuoa? Kama hpn kuna...
Back
Top Bottom