Recent content by kilemandembwe

  1. K

    Malumbano ya Hoja ITV: Tathmini ya bunge la 10. Je, limekidhi matarajio ya wengi?

    Sikutegemea msomi wa kiwango cha PhD kutoa maoni kama yale na hii tabia ya kuweka ushabiki wa kisiasa mbele halafu utaalamu mifukoni unadhalilisha wasomi na kuona kumbe hakuna tofauti ya msomi na asiye soma, wote ndiyooooo!
  2. K

    Sasa naona wazi kwamba Prof. Mwandosya ni tofauti sana na wengine

    Waulize mwaka 2001 sekela binti yake alilipiwa bill ya kukaa hotelini South akiwa masomoni ingawa hakuwa staff wa celtel bali huyo mgombea alikuwa waziri wa wizara ya mawasiliano iliyouza ttcl kwa celtel kiujanjaujanja. Hata msafishe watu vipi wtz wanakumbuka hiyo history.
  3. K

    Tanzania yanunua tena 35% ya TTCL

    Mkuu umenikumbusha machungu! Kulikuwa na kampuni mbili za uholanzi moja Ikiwa na jina la MSI detcom kitu kama hicho wakanunua shares ttcl baadae wakaform celtel ambayo binti moja jina sekela mwando.... Mwaka2001 alikaa hotelini akiwa masomoni South kwa bill ya celtel ingawa hakuwa staff wa...
  4. K

    Mwigulu Nchemba, umelidanganya taifa?

    Uko Sawa mkuu kwa waliopo ndani ya hicho chama ndo chaguo bora na ana nguvu bado na vision nzuri kama hatayumbishwa na wapambe.
  5. K

    Malecela: Kingunge hana shukrani

    Soma mwanzo 11 nadhani ni mstari Kati 1-15 hiyo habari utaipata mkuu.
  6. K

    Malecela: Kingunge hana shukrani

    Wewe umejitahidi kuchambua hao watatu yaani mwigulu, nyerere na pinda atleast ndani ya hicho chama ndo hawajachafuka na ingawa mi siyo mwanachama kama ningepewa nafasi ya kupendekeza jina moja Kati ya hao basi ni mwigulu japo inabidi apunguze ukada anapoongoza nchi! Pamoja na hayo kuna swali...
  7. K

    Wassira, Umefanya kosa kubwa na Hili utajuta....

    ni makosa na si haki kusema mtu ana sura mbaya kwa kuwa wtz tunatafuta Rais na siyo mchumba! Sura siyo issue hapa leteni hoja tujadili.
Back
Top Bottom