Kwa heshima na taadhima kwa mheshimiwa Raia No. 1 wa mama Tanzania, napenda kusena yafuatayo:
1. Ikiwa mama ana nia hiyo, basi ni vema aunde tume au kamati ifanye kazi kujua yale makampuni ya uzalishaji na usambazaji yaliyo kuwepo miaka hadi mwaka 2013 yalipotelea wapi? Namaanisha makampuni kama...
Aliyewekwa sasa yumo kwenye mtandao wa aliyeshika "remote" ya kumwendesha mama kwa faida yake. Kumbuka ni mtandao wa mtu huyo huyo uliopiga "Richmond, IPTL, Dowans" n.k. Muda utaongea. Madili yatakayopigwa siku zijazo ni ya kufa mtu. Watz tutakoma. Kilangila.
Walipouawa wayahudi hatukusema, tulimnyamaza; wakauawa wazungu wenye nywele nyeusi tulinyamaza, leo wanauwa wakatoliki hakuna wakutusemea. Alisikika akisema Padre mmoja nchini Ujerumani wakati wa utawala wa Hitler. Kilangila,
Kiitikio: Si -mbali karibu tutapata katiba Mpya, si mbali karibu tutapata katiba mpyaaaa.
Ubeti 1: Wapinzani wana-teseka, wakidai katiba mpya; kwa faida ya watu wote, hata-wa-chama tawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.