Recent content by kilama

  1. kilama

    Wosia wangu kwa wasiokuwa Waislam

    Hii paragraph ya mwisho nimekuwa nikiwaeleza watu wa karibu sana. Huwa najiuliza hii michango ya miradi ya kanisa inamsaidiaje muumini? Mfano; mradi wa kujenga shule ya kanisa unamsaidiaje mchangiaji/muumini kama michango yote bado ipo palepale?
  2. kilama

    JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

    Last seen ya DeepPond ni April 2, 2026. Huyu nahisi bado tunaye katika hekaheka za duniani.
  3. kilama

    Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Mkuu ndo mbuyu wenyewe unaotaka kuanguka soon?
  4. kilama

    Majeshi ya NATO huko Iraq yanafukuzwa kama paka mwizi.

    Chanzo cha taarifa ni muhimu sana kwa wakati tulionao.
  5. kilama

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Kwa akili yako unafikiri ni kwa nini Israel-US wahangaike kuuangausha utawala wa Kiislamu Iran? Kuanguka kwa utawala wa Kiislamu una faida gani kwa mmarekani na Israel?
  6. kilama

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Hiyo ndiyo inayoitwa kuvumiliana katika imani.
  7. kilama

    Hivi USA anataka nini hasa kutoka Iran. Kwani akikifanya Iran vita inaisha

    Sasa utawala wa Ayatollah yeye unamuhusu nini na nchi yake?
  8. kilama

    Usalama wa watoto wakati wa mvua wakiwa shule za serikali ni mdogo sana

    Yaani wewe umeng'ang'ana na walimu tu hadi wapatikane na makosa. Kwanza ungeuuliza je, shule ina vikinga radi halafu ndipo tuje kwenye hoja zingine. Unaambiwa walikuwa kwenye muda wa mapumziko, sasa hapo kosa la walimu ni lipi? Je, kuna walimu wa kutosha katika hiyo shule?
  9. kilama

    Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha kupambana na ugaidi Marekani ajiuzulu kupinga vita vya Marekani dhidi ya Iran

    Acha kuumia kwa watu wasiokuhusu, wewe unaumia kwa maamuzi ya mtu mwingine kutoka taifa lingine kabisa kama sio upungufu wa akili ni nini.
  10. kilama

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Na wewe umechagua upande gani mkuu? 🤣🤣
  11. kilama

    Mapinduzi ya siku hizi yanafananaje?

    Asante sana kwa mchango wako MALCOM LUMUMBA
Back
Top Bottom