Mkuu hoja ya chakula haipaswi kuupuzwa lakini pia mazoezi na kulala/kupumzika ni hoja za msingi sana. Hivyo vitu vyote vinakwenda pamoja. Chakula+ mazoezi+kupumzika.
Hii ni kweli Mtibeli, mtindo wa maisha yetu umekuwa changamoto lakini pia cha kuongeza mwanaume kuwa na mahusiano mengine nje ya mwenza hupunguza hisia za mke/mwenza wake wa ndani.
Kama sera zake hazikuwa nzuri yeye anakuwaje mzuri wakati kuna waliopata madhara ya kimwili na kihisia? Hata misingi yake sasa inaonekana kutokuwa na maana yoyote?
Umenipa mawazo na mtazamo tofauti kabisa kuhusu huyu mzee japo nilimpatia wasiwasi wa uongozi wake hata kama sikuukuta ni kuhusu hii katiba, kwamba hakuiona kama haifai? Mbona aliwahi kusema kwamba katiba hii ikikutana na dikteta itakuwa hatari?
Kipindi Lissu anambananga Bungeni sikumuelewa...
Una upendo wa hali ya juu sana MALCOM LUMUMBA hata kuweza kupata nafasi ya kuandika kwa uchambuzi unaojitosheleza.
Nakuombea sana kheri ili wengine tuendelee kujifunza mengi si rahisi kuyajua haya na mengine mengi kwa namna yoyote ile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.