Recent content by kilama

  1. kilama

    Majeshi ya NATO huko Iraq yanafukuzwa kama paka mwizi.

    Chanzo cha taarifa ni muhimu sana kwa wakati tulionao.
  2. kilama

    The financial times: Iran inapata faida kubwa kwenye vita, Urusi yaondolewa vikwazo

    Kwa akili yako unafikiri ni kwa nini Israel-US wahangaike kuuangausha utawala wa Kiislamu Iran? Kuanguka kwa utawala wa Kiislamu una faida gani kwa mmarekani na Israel?
  3. kilama

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Hiyo ndiyo inayoitwa kuvumiliana katika imani.
  4. kilama

    Hivi USA anataka nini hasa kutoka Iran. Kwani akikifanya Iran vita inaisha

    Sasa utawala wa Ayatollah yeye unamuhusu nini na nchi yake?
  5. kilama

    Usalama wa watoto wakati wa mvua wakiwa shule za serikali ni mdogo sana

    Yaani wewe umeng'ang'ana na walimu tu hadi wapatikane na makosa. Kwanza ungeuuliza je, shule ina vikinga radi halafu ndipo tuje kwenye hoja zingine. Unaambiwa walikuwa kwenye muda wa mapumziko, sasa hapo kosa la walimu ni lipi? Je, kuna walimu wa kutosha katika hiyo shule?
  6. kilama

    Mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha kupambana na ugaidi Marekani ajiuzulu kupinga vita vya Marekani dhidi ya Iran

    Acha kuumia kwa watu wasiokuhusu, wewe unaumia kwa maamuzi ya mtu mwingine kutoka taifa lingine kabisa kama sio upungufu wa akili ni nini.
  7. kilama

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Na wewe umechagua upande gani mkuu? 🤣🤣
  8. kilama

    Mapinduzi ya siku hizi yanafananaje?

    Asante sana kwa mchango wako MALCOM LUMUMBA
  9. kilama

    Je, laptop yako imepasuka kioo au housing?

    Housing zote mbili za Lenovo G580 bei gani?
  10. kilama

    Afya ndiyo mtaji wako,usikubali utetereshe afya yako kwa vitu visivyo vya lazima

    Asante sana, hapo kwenye siasa nimekuelewa sana.
Back
Top Bottom