Una upendo wa hali ya juu sana MALCOM LUMUMBA hata kuweza kupata nafasi ya kuandika kwa uchambuzi unaojitosheleza.
Nakuombea sana kheri ili wengine tuendelee kujifunza mengi si rahisi kuyajua haya na mengine mengi kwa namna yoyote ile.
Asante sana mkuu nitafanya hivyo japo safari ya MOI ni mbali kidogo labda nijaribu hapa Bugando iliyopo karibu, sijajua kuhusu Chato kama naweza kupata huduma kwa usahihi.
Nilipokwenda hospitali daktari amekuja na hilo hitimisho/conclusion kwamba ni h-pyori japo sikuridhika moja kwa moja na maelezo yake. Kuna hali alionyesha ya wasiwasi wa ufahamu wa hicho kitu lakini basi imenibidi nipotezee.
Nilijaribu kuulizia sehemu tofauti tofauti inaonekana hii hali inachagizwa na ukosefu wa vitamini B12 na hata nilipokwenda kwenye pharmacy jamaa alishauri nitumie aidha dawa za TB kwa kufikiri kwamba hizi dawa zina mchanganyiko mwingi au nitumie dawa za Vitamini B12. Hivyo, nilichagua dawa za...
Habari za muda wakuu.
Naomba msaada wa hii ninayopitia ya mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shock kama ya umeme hasa nikiinamisha kichwa. Hospitali wameniambia wakati mwingine h-pyori huwa anasababisha hiyo lakini kwa muda ambao nimetumia dawa za h-pyori hiyo hali bado ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.