Recent content by kilama

  1. kilama

    Rais Biden kuwafungia sola kaya 900,000 masikini nchini Marekani

    Matumizi ya alama ya mkato naona bado yana changamoto kwako mkuu.
  2. kilama

    Rais Samia Atunukiwa Udaktari wa Uchumi (Doctorate of Economics Degree) Uturuki

    Lakini hawa watu huwa wanatuchukuliaje? Mbona haijawahi kusikika wao wakitunukiwa hizo PHD huku kwetu wanapokuwa na ziara?
  3. kilama

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Najifunza vitu vingi sana kutoka Iran katika maisha binafsi
  4. kilama

    Ushauri kwa vijana: Kijana fanya juu chini hakikisha una check number

    Mkuu ndio hivyo watu hatufanani lakini pia hakunaga hela ndogo ila kuna elimu/uelewa/upeo mdogo. Kuna watu wanahitaji 10K tu awe millionaire
  5. kilama

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Kiubinadamu inaumiza ila kuna uzi upo humu unahusu watu wema kwa nini Mungu huwachukua mapema kuliko hata muda ambao jamii/familia inavyowahitaji. Fact ambayo imeungwa mkono na wengi ni kwamba sifa, utukufu na shukrani wanazopata kutokana na huo wema unabeba sifa na utukufu wa Mungu. Hivyo Mungu...
  6. kilama

    Utunzaji wa vyakula kwenye friji

    Unapoichemsha nyanya yenyewe unatumia na mafuta ya kupikia?
  7. kilama

    Nataka kumuacha lakini sina pa kuanzia

    Hiyo hali huwa inatokea wala sikushangai kuna wakati unajihisi huna hisia na mtu uliyenaye lakini ni kipindi tu cha muda ukiendelea kuwa mvumilivu. Hiyo hali baadaye inakuja inapotea na utarudi kawaida. Ndio wakati mgumu sana kwa mwanaume kufanya maamuzi ya kuwa na mwenza. Kuna wakati mimi...
  8. kilama

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Mkuu samahani niliwapa kuku wangu wakubwa tylodox 200 japo si Kwa kuzingatia sana kwa kusuasua sasa nataka kesho nimchinje mmoja kwa kitoweo, kitaalam vipi naweza nikamchinja?
  9. kilama

    Kwanini wanawake wengi wana wapenda wanaume wenye tabia hizi?

    Mbona kama umemaliza wanaume wote
  10. kilama

    Msaada wa kurudisha akaunti ya Facebook

    Mkuu nina tatizo kama hili hallo, msaada ndugu yangu
  11. kilama

    Putin: Urusi iko Karibu kuzindua Chanjo ya Saratani

    Lofa sana huyu jamaa, kichefuchefu tu
Back
Top Bottom