Recent content by kilama

  1. kilama

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Bachelor degree courses zinatolewa UDOM lakini hazipo kwenye soko la ajira

    Elimu ya chuo kikuu ni ya kimataifa.
  2. kilama

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kuchomwa moto nikiwa dukani usiku wa saa 9 South Africa

    Pole sana mkuu, huku napo kwa aina ya viongozi tulionao tutaelekea huko huko.
  3. kilama

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Una upendo wa hali ya juu sana MALCOM LUMUMBA hata kuweza kupata nafasi ya kuandika kwa uchambuzi unaojitosheleza. Nakuombea sana kheri ili wengine tuendelee kujifunza mengi si rahisi kuyajua haya na mengine mengi kwa namna yoyote ile.
  4. kilama

    JamiiForums Tanzania Zanzibar 2001: Kulikuwa na umuhimu kutumia mabavu kiasi kile?

    Wawindwe tu hawa mbwa, sijui kwa nini haipendi kujifunza, sijui akili ni ndogo.
  5. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Asante sana kiongozi.
  6. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Amina. Asante sana sana, Natumaini Mungu mwenye Rehema ataniponya.
  7. kilama

    JamiiForums Tanzania Maisha baada ya kufukuzwa kazi

    Mkuu kufa maskini kuko vipi?
  8. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Hiyo hali una muda nayo mrefu?
  9. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Asante sana mkuu nitafanya hivyo japo safari ya MOI ni mbali kidogo labda nijaribu hapa Bugando iliyopo karibu, sijajua kuhusu Chato kama naweza kupata huduma kwa usahihi.
  10. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Nilipokwenda hospitali daktari amekuja na hilo hitimisho/conclusion kwamba ni h-pyori japo sikuridhika moja kwa moja na maelezo yake. Kuna hali alionyesha ya wasiwasi wa ufahamu wa hicho kitu lakini basi imenibidi nipotezee.
  11. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Asante kiongozi kwa ufafanuzi
  12. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Nilijaribu kuulizia sehemu tofauti tofauti inaonekana hii hali inachagizwa na ukosefu wa vitamini B12 na hata nilipokwenda kwenye pharmacy jamaa alishauri nitumie aidha dawa za TB kwa kufikiri kwamba hizi dawa zina mchanganyiko mwingi au nitumie dawa za Vitamini B12. Hivyo, nilichagua dawa za...
  13. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Habari za muda wakuu. Naomba msaada wa hii ninayopitia ya mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shock kama ya umeme hasa nikiinamisha kichwa. Hospitali wameniambia wakati mwingine h-pyori huwa anasababisha hiyo lakini kwa muda ambao nimetumia dawa za h-pyori hiyo hali bado ipo.
  14. kilama

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali. Iwe funzo kwa mafisadi wote

    Tupe hiyo mkuu
  15. kilama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nilichokishuhudia kwenye maandamano: Serikali ya Tanzania imeshindwa vita

    Asante mkuu, sichoki kukusoma kila mara nakusearch kupata update yoyote mpya. Mungu akulinde sana.
Back
Top Bottom