Recent content by kilama

  1. kilama

    JamiiForums Tanzania Ni surprise gani uliwahi kufanyiwa na mpenzi wako mpaka leo huwezi kusahau

    Jamaa alifunga ndoa ya aina gani? Kidini au serikalini? Kama ni ya kidini, ni dini gani?
  2. kilama

    JamiiForums Tanzania Akina Mama na akina dada, dudu za wenza wenu zikigoma kusimama msiwadhihaki muwabembeleze

    Mkuu hoja ya chakula haipaswi kuupuzwa lakini pia mazoezi na kulala/kupumzika ni hoja za msingi sana. Hivyo vitu vyote vinakwenda pamoja. Chakula+ mazoezi+kupumzika.
  3. kilama

    JamiiForums Tanzania Akina Mama na akina dada, dudu za wenza wenu zikigoma kusimama msiwadhihaki muwabembeleze

    Hii ni kweli Mtibeli, mtindo wa maisha yetu umekuwa changamoto lakini pia cha kuongeza mwanaume kuwa na mahusiano mengine nje ya mwenza hupunguza hisia za mke/mwenza wake wa ndani.
  4. kilama

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Kisiasa (Political assassinations) siyo sera bora ya kiutawala

    Asante sana, ngoja nitafute muda nikafanye rejea za Tundu Lissu akiwa bungeni kumuhusu.
  5. kilama

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Kisiasa (Political assassinations) siyo sera bora ya kiutawala

    Kama sera zake hazikuwa nzuri yeye anakuwaje mzuri wakati kuna waliopata madhara ya kimwili na kihisia? Hata misingi yake sasa inaonekana kutokuwa na maana yoyote?
  6. kilama

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Kisiasa (Political assassinations) siyo sera bora ya kiutawala

    Umenipa mawazo na mtazamo tofauti kabisa kuhusu huyu mzee japo nilimpatia wasiwasi wa uongozi wake hata kama sikuukuta ni kuhusu hii katiba, kwamba hakuiona kama haifai? Mbona aliwahi kusema kwamba katiba hii ikikutana na dikteta itakuwa hatari? Kipindi Lissu anambananga Bungeni sikumuelewa...
  7. kilama

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Sijawahi kuona ukitoa hoja zozote za maana, huwa nakusoma mtu wa kupinga na kukejeli tu. Wakati mwingine si lazima uwe uwe unatoa comment.
  8. kilama

    JamiiForums Tanzania Ukonga: Tundu Lissu akutana Katibu Mkuu wa IPU, Martin Chungong

    Kwani msimamo wake una uhusiano gani na mzungu?
  9. kilama

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Bachelor degree courses zinatolewa UDOM lakini hazipo kwenye soko la ajira

    Elimu ya chuo kikuu ni ya kimataifa.
  10. kilama

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika kuchomwa moto nikiwa dukani usiku wa saa 9 South Africa

    Pole sana mkuu, huku napo kwa aina ya viongozi tulionao tutaelekea huko huko.
  11. kilama

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Una upendo wa hali ya juu sana MALCOM LUMUMBA hata kuweza kupata nafasi ya kuandika kwa uchambuzi unaojitosheleza. Nakuombea sana kheri ili wengine tuendelee kujifunza mengi si rahisi kuyajua haya na mengine mengi kwa namna yoyote ile.
  12. kilama

    JamiiForums Tanzania Zanzibar 2001: Kulikuwa na umuhimu kutumia mabavu kiasi kile?

    Wawindwe tu hawa mbwa, sijui kwa nini haipendi kujifunza, sijui akili ni ndogo.
  13. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Asante sana kiongozi.
  14. kilama

    JamiiForums Tanzania Mwili unakuwa katika hali ya kupatwa na shocks za umeme

    Amina. Asante sana sana, Natumaini Mungu mwenye Rehema ataniponya.
  15. kilama

    JamiiForums Tanzania Maisha baada ya kufukuzwa kazi

    Mkuu kufa maskini kuko vipi?
Back
Top Bottom