Hakuna tofauti ya uwezo wa kufikiri kati ya mwaname mwanamke, ila tofauti inaletwa na mazingira na mtitazamo ya jamii, mazingira wanayokulia na shughuli wanazofanya hawa watu ndo vinabadilisha ufikiri wao na uwezo wao, ila wakipewa mazingira sawa na nafasi sawa uwezo wao upo sawa.
Wewe una lako jambo, mbona unaowataja wamekaa kimya? au unataka kuwagawa wanachama? umeshindwa na kama umetumwa na magamba waambie huku hatutaki umbeya+uongo. ho to hell..
huyu jamaa anaota, mi ninafuatilia hivz kampeni kila siku na kila mahali, kila chadema wanapo fika wananchi wanafurika kuliko kawaida, mimi mwenyewe nina safiri zaid ya 25km kushuhudia makamanda. sasa wewe umetumia kigezo gani kusema chadema imepoteza mvuto? acha kupayukapayuka hovyo we are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.