Niseme nini baba sina lakusema juu yako'abarikiwe mama aliye kuzaa na wote wafwatao uwezo na hekima zako za kututetea sisi wanyonge wa taifa hili hasa waalimu kama mimi.mwalimu kigamboni Dsm.
Siunaona alivyo sifiwa na kikwete siku ya meimosi?hutu bayake fupi inavutia haichoshi sio kama zile hotuba za zamani masifa kibao.mgaya amesubiri tu kujishibisha yeye na familia yake@sitaki kura za wafanyakazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.