Mwamgunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 247
- 48
Leo nimeingia ktk ofisi ya mkurugenzi wilaya ya Busega ili kuomba anipitishie fomu yangu ya kuongeza mkopo katika benki ya NMB majibu aliyonipa ni kuniamuru nitoke ndani ya ofisi yake vinginevyo atanifatilia ili ajue shule ninayofundisha na hatua za kinidhamu zichukuliwe juu yangu, anadai waalimu tumekuwa wasumbufu pia hawezi kupitisha fomu ya mtu ambae tayari ana mkopo mwingine benki.
Swali la kujiuliza hivi tangu lini mwajiri akampangia mwajiriwa kiasi cha mkopo wakati nitakaeulipa huo mkopo ni mimi mwajiriwa?
Waalimu wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu tumechoka kunyanyaswa na ipo cku tu tutashindwa kuvumilia manyanyaso haya!
Swali la kujiuliza hivi tangu lini mwajiri akampangia mwajiriwa kiasi cha mkopo wakati nitakaeulipa huo mkopo ni mimi mwajiriwa?
Waalimu wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu tumechoka kunyanyaswa na ipo cku tu tutashindwa kuvumilia manyanyaso haya!