Nisahihi sana kuhakikisha vyombo vya habari vinaendelea kuwa huru.
Hatupaswi Hata kidongo kuingilia uhuru wa vyombo vya habari. Kufanya hivyo ni kuminya uhuru ambao unaweza kusababisha madhara kwenye jamii.
Wakuu, yule kamanda wa CHADEMA aliyekuwa anailea CHADEMA hapa Mwanga tokea 2011 leo hii amepata upinzani rasmi wa kuwania kuteuliwa kugombea kiti hicho cha ubunge.
Leo zimerudishwa fomu na makamanda wengine akiwamo Mwanasheria wa Chama hicho Wilaya.
Waliyorudisha fomu
1. Mengi Kigombe(...
Katika vijana hovyo kabisa katika uongozi wa kisiasa ni wewe. Ulishindwaje kuongea na Mkt wako huko ukawa na majibu kamili, sasa sisi hapa tutakusaidiaje kwa mfano unavyotulalamikia. Kama unaona hamuendani siuondoke?
Huna ubavu wowote wa kuusemea Ukawa endelea na kelele zako za kitoto na kipuuzi.
Huyo mkt wa NEC akili zake hazipo sawa sawa kabisa... yaani ujinga wa maccm kuendelea kulumbana na kuwafanya kushindwa kutoa hamasa kwa watu kwenda kujiandikisha ndiyo anataka na Chadema tukae kimya kama litume lake linavyoandika kwa kuvizia? Kweli haya majitu ni majinga na mapumbafu kabisa...
Tutashukuru kama ni kweli, ila huku wanaandikishwa majina na karatasi hizo kuondoka nazo kwenda Halmashauri, wanaoandikishwa ni walimu na wafanyazi wengine wa serikali pekee...
Wakuu.
Nipo hapa Mwanga kunajambo linaloendelea hapa na nijambo la hatari sana, kunauandikishaji kwa wafanyakazi huku wakidai kuwa ni kwaajili ya kitambulisho cha Taifa jambo hili linaenda wiki ya tatu sasa.
Wanaoandikishwa ni Walimu pamoja na wafanyakazi wote wa serikali wanapelekewa fomu...
Maccm na ACT tunajua kwasasa mmeungana kwaajili ya kushambulia makamanda wa ukweli kama Kileo nk. Ukweli ni huu, 2015 mtake msitake mbunge wa pale Mwanga ni Kileo.
Ukweli mnaujua hamuwezi kushindana na Kileo Pale Mwanga, hakuna wa kumzuia kileo kushinda lile jimbo huwo ndiyo ukweli wenyewe. Mnapiga kelele hapa kamanda yupo kazini.
Huu ni uwongo wa kiwango cha juu, mfano mzuri ni hapo Mwanga wanapotaka NCCR, ni lini NCCR imekuwa Mwanga? Jibu haijawahi kuwamo mwanga.
Hizo story za kupika za hawa waandishi wa habari hazina nia njema na umoja huu wa Ukawa hata kidogo.
Nccr haipo mwanga wala haijawahi kuwapo mwanga na Mwanga...
Nilipata hii habari jana toka kwa mwenyekiti habari ya dampo kuwekwa eneo husika inahitaji kwanza pamoja na mambo mengine, eneo hilo lifanyiwe environmental impact assessment na pili wananchi washirikishe na kuthibitishiwa usalama wao na mifugo, lakini pia kujuwa uelekeo wa upepo eneo husika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.