Recent content by Kikotooriginal

  1. Kikotooriginal

    GE2020 Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kujibu maswali ya wananchi watumiao mitandao

    Mh. Sekta binafsi ni nguzo muhimu katika ujenzi wa uchumi endelevu kwa taifa lolote duniani. Upi utakuwa msukumo wako kipee juu ya sekta hii; je wafanyakazi sekta binafsi watarajie nini kuhusu maslahi yao ambapo Ni mwaka wa Saba (7) Sasa kima cha chini cha mshahara hakija badilika?
  2. Kikotooriginal

    Mtela Mwampamba aondolewa Ubungo na badala yake awa DAS Kisarawe

    Huko Nansio kuna kijiji hakina mtendaji???
  3. Kikotooriginal

    Msajili wa vyama Jaji Mutungi amwambia Spika kuwa hawezi kuingilia mambo ya CHADEMA kwa kuwafukuza uanachama wabunge

    Supika inakoroma! Labda kuna waya umekatika. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Kikotooriginal

    Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Katiba na Sheria

    Angalau wamekutia moyo, ungewezaje kumpigia kampeni!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Kikotooriginal

    CCM Jimbo la Ukonga Takrima nje nje

    Ukonga ya DAB. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Kikotooriginal

    “Tunaamua tuseme ukweli.” Hii kauli ya Ummy Mwalimu inafikirisha sana

    Ummy, my minister I love you so much!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Kikotooriginal

    Tumewakosea nini Wakenya kumdhalilisha Rais wetu?

    Dharau, kebehi, majivuno na yote yanayo fanana na hayo ni sehemu ya maisha ya Mwanadamu. BINADAMU, MAAJABU YA MAAJABU DUNIANI. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Kikotooriginal

    Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (Chadema) kustaafu Siasa, aaga bunge

    Sitaki kuteuliwa tena. @ Bulemba Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Kikotooriginal

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Huna tofauti na yule mnyang'anyi aliye surubiwa pamoja na Masihi wa Bwana msalabani huku akimlaumu Masihi kwanini hafanyi muujiza ilhali akijua kuwa adhabu aliyopewa ni haki yake. Wewe umechukua hatua gani mbele za MUNGU? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Kikotooriginal

    Mchungaji aliedai Corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa Corona

    Yote katika yote YAHWEH ni MUNGU. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Kikotooriginal

    RC Makonda: Baada ya kumuumbua Mbowe nimewaokoa wananchi wa Dar es Salaam

    Kila kitu lazima ajibu! Hili nalo ni tatizo. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Kikotooriginal

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Usipime ukuu wa MUNGU na vitu vya kijinga jinga. MUNGU ATABAKI KUWA MUNGU. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Kikotooriginal

    Rais Magufuli akipima joto la mwili kabla ya kuingia katika ukumbi wa Baraza la Mawaziri

    Safi sana, sio watu kutishana tishana tu! Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Kikotooriginal

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    [emoji119] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom