Recent content by kikokotoleo

  1. K

    Simba SC yaipiku Yanga SC kwa kila kitu CAFCL

    Mbona wewe umekolewa hizo hizo na simba
  2. K

    Uzi maalumu wa kutaja wachambuzi makini wenye weledi wa soka na vituo vyao wanavyofanya kazi ili tukawasikilize

    Sasa kati ya woote huyu ndiye kiranja wao mkuu. Said bin Jemedari bin Kzumari. Mbwaduke anafuatia baada ya huyu mwamba. Anajua vitu vingi saana. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  3. K

    Yanga SC bwana yaani Beki huyu Mbovu Gift Fred wa Uganda ni wa Kumsajili kwa Tsh Milioni 115 Kweli?

    Tangu lini hanithi akaweka mtu mimba? Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  4. K

    Kwa yanayotokea France, kumbe Trump alikuwa sahihi

    Fujo imesababishwa na polisi kumpiga risasi na kumsababishia kifo kijana wa miaka 17. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  5. K

    Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar

    Sawa. Mikataba iboreshwe. Kwani mtu unapojiunga whazup au apps nyingine zinazofanana na hizo,kuna mlolongo wa mkataba pale wewe unabonyeza tu next and I agree. Mbona haijawahi kuzingua? Ukimchunguza Sana bata nyama yake huli. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  6. K

    Simba SC nawapa tahadhari, Victorien Adebayor ni usajili wa utapeli

    Wachezaji wazuri wako Congo na Zambia. Huko kwingine kama West Africa Hakuna kitu. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  7. K

    Hatimaye Kocha wa Magolikipa Milton Nienov apewa mkono wa kwa heri na Timu ya Yanga SC

    Mimi ni Simba ila kile kibambucha nilikuwa nakipenda. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  8. K

    Yanga yapanda nafasi ya 6 kwa ubora Afrika

    Wewe mwenyewe ni kiazi kitamu. Piga hesabu wewe utuambie Yanga wana point ngapi? Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  9. K

    Kinachoendelea ndani ya klabu ya Yanga ni huruma

    Tatizo la utopolo wanadhani hizo rankings anagawae g.s.m. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  10. K

    Kinachoendelea ndani ya klabu ya Yanga ni huruma

    Wewe ndo umekunwa tigo hata kuzuia wachezaji na makocha unashindwa. Wanatoka tu kama Mavi. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  11. K

    Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

    Hawa ndiyo washabiki Malaya Malaya. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  12. K

    Wamemuingiza cha jiji halafu wanejitenga naye!

    Au ndiyo maana Membe kaondoka ghafla? Kuepusha complications za uchaguzi? Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  13. K

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Nabi amemkimbia Robertinho. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  14. K

    Hatimaye Kocha Nabi anaondoka Yanga, amemaliza mkataba na kupata dili kwingine

    Malizia sentesi. Wananchi wenye akili pungufu kasoro wawili tu. Nao Ni? Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
  15. K

    Rais Samia: Machifu simamieni Maadili ya vijana wa Kitanzania

    Wee ibanga. Kaa mbali na wanawake sasa hivi wamecharuka watakuuza Mara moja. Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom