Sasa kati ya woote huyu ndiye kiranja wao mkuu. Said bin Jemedari bin Kzumari. Mbwaduke anafuatia baada ya huyu mwamba. Anajua vitu vingi saana.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Sawa. Mikataba iboreshwe. Kwani mtu unapojiunga whazup au apps nyingine zinazofanana na hizo,kuna mlolongo wa mkataba pale wewe unabonyeza tu next and I agree. Mbona haijawahi kuzingua? Ukimchunguza Sana bata nyama yake huli.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.