😅😅😅 Na Dr. Sulle mimi ni moja kati ya watu wanaomkubali sana, Dr. Sulle namkubali sana kwanza kabisa ana akili sana na ni mwalimu mzuri na yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja na kujibu maswali. Ko nafikiri nikitaka elimu ya kina kuhusu majini ana kwa ana basi mtu wa kwanza nitakayemtafuta ni...
Thamani yake imepanda, lakini imepanda kwa kiwango ambacho kwa Wamarekani kwao bado sio tishio wala kupanda huko kwa thamani ya shilingi ya Tanzania hakujawatetemesha kabisa. LABDA ingekuwa DOLA 1 ya Marekani mnainunua kwa Tsh. 100 hivi au Tsh.50 ningesema kweli fedha yetu imepanda thamani sana...
Ila sisi Wabongo buana, ko kutoka Exchange Rate ya Tsh. 2700/USD hadi Tsh. 2400/USD ndiyo tunasema eti shilingi ya Tanzania imeimarika dhidi ya dola ya Marekani, eti shilingi ya Tanzania imeikalia kooni dola ya Marekani, hivi from 2700 to 2400 difference ni ngapi hapo? 😅😅 Kuna nchi tena za...
Mbona mimi namkubali Arnold Schwarzenegger kiasi kwamba kuna kipindi nikiwa chuo mwaka wa kwanza nilikuwa nafuatilia maisha yake ya miaka ya 70, 80, akiwa Professional Bodybuilder kabla hajazama sana kwenye Uigizaji wa filamu za Kivita, nilikuwa namfahamu toka kitambo toka nikiwa mtoto mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.