Lakini sasa inabidi tuwe very care.! Laikini naweza nikawa nje ya mada kidogo ni kweli usalama umeimalishwa japo sio kwa sana lakini hatupo serious sababu sehemu kama pale kigamboni unakuta unakagulia na vifaa maalum lakini unakuta kile kifaa kina piga kelele lakini mkaguzi anakuruhusu kupita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.