Kosa n kumnyima haki mtu waliyemruhusu agombee kura za maoni na kumpa wamayemtaka wao. Kushinda kwa Kigwangala haihalalishi kukalia haki ya Bashe. Kuna sehemu CCM walipigwa chini kwa kosa kama hilo. Anyway u do the ryt always
"Kura za maoni siyo kigezo pekee cha mgombea wa Chadema kusimamishwa kama mgombea" Source Star tv habari from Kalenga.
Demokrasia maana yake n nn? Kama mgombea hana vigezo anaingiaje kwenye mchakato wa kupigiwa kura ya maoni? Iweje mshindi wa kura za maoni apigwe chini bt wapili ndo asimamishwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.