Recent content by KIKI CORAL

  1. K

    Namshukuru Mungu nimeweza nimefungua Radio ya mtandaoni (online Radio)

    Safi, nasikiliza hapa nasikia nyimbo za Kiingereza tu
  2. K

    Tatizo la vipele mwili hadi sehemu za siri

    atumie dawa inaitwa vidonge vya aleji inapona. imewahi kutokea nikatumia hivyo vidonge nikapona. japo makovu yale yalibaki kwa muda
  3. K

    Ni jambo gani unalotakiwa kulifanya pindi unapopitia wakati mgumu sana. Fedha na matatizo ya mara kwa mara kama vile kuuguza kwa muda mrefu

    Aisee pole mkuu na Hongera sana. Situation hii ndio niko nayo kabsa saa hii buku tu naiona kama milioni. Mungu ni mwema tunavuka
  4. K

    Ni jambo gani unalotakiwa kulifanya pindi unapopitia wakati mgumu sana. Fedha na matatizo ya mara kwa mara kama vile kuuguza kwa muda mrefu

    Nina mtoto ana shida Ana Clinic anaenda kwa sasa nikiondoka mjini hapa naweza kumpoteza.
Back
Top Bottom