wabongo wana roho mbaya sana sasa ameona amekwisha pata hakaona wengine wa kazi gani basi angekaa kimya akaona na kukaa kimya ameshindwa akapiga na simu kabisa kuwakatili wabongo wenzake wasifanikiwe kwakua yeye tayari amesha fanikiwa hii si roho ya kichawi kabisa huyo jamaa Mshenzi kabisa.
uraia wao sidhani kama utakua mgumu sana kupata kuna mdau JF hapa alisema ukikaa ndani ya miaka miwili bila kuvunja sheria au kosa lolote la uvunjifu wa sheria unapata makaratasi sijui ni kweli?
Hakuna tatizo furahia maisha ndugu kama leo kuna giza jua kesho kutakua na mwanga shukuru alafu zidi kupambana huku ukimuomba Mungu afungue milango yake ya baraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.