Hii nchi ngumu mkuu wala hilo sio suluhisho. We hushangai Kila bus limefungwa king’amuzi cha kucontrol speed ambapo mfumo huo upo connected na traffic/polisi. Ila ni marangapi unatembea na bus king’amuzi kinapiga kelele kwamba dereva kazidi speed? Ulishawahi kuona bus limesimamishwa kwa...
Wale mawinga wa coco hawana tofauti na wale wa soko la karume. Kuna watu wanaamka asubuhi wanaenda Coco kwa kazi ya udalali kwenye ile mihogo na vimishkaki.
Kuna viwanja vya maeneo ya beach kibao tu tena sehem nzuri huwez kuta unauziwa mishkaki bei ya kijinga kama wanavyotapeli hapo coco. Serikali iliacha lile eneo wazi ili walala hoi waweze nao kuja beach kuchezea maji na kula vyakula Kama mihogo. Serikali ikaona iwaruhusu raia wa hali ya chini...
Hawa lalamiki huko hotelini kuuziwa soda elfu2 kwasababu wanapata huduma inayoendana na mazingira. Coco Mazingira ya hovyo tu unawekewa zile meza za plastic za cocacola na viti vya plastic, unaletewa vimishkaki 15 kwenye sahani la plastic Kama la mama ntilie wa soko la mabibo muhudumu yuko hovyo...
Sielewi logic ya gari kuzidisha uzito na kupiga fine. Yaan barabara inapita lori la tan30 lakini lori la tan15 likizidisha uzito hata kilo 500 linapigwa fine wakati barabara inaruhusu kupita lori la tan30? TANROAD mlifikiria nini? Kama uharibifu wa barabara unasababishwa na uzito, hivi lori la...
Umeongea kitu cha maaana sana. SA huwezi kuta ajali Kama hizi zetu na kule watu wanakimbiza Gari balaa. Gari ya speed 240 mtu anamaliza yote Au anaacha 10 tu. Barabara zinakarabatiwa kila wakati huwez kuta mashimo kama ya barabara zetu.
Mwaka tutakaoweza kutanua barabara zetu Au kuzitenganisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.