Kama halotel wanafanya hivyo hiyo ni marketing strategy yao kupata wateja wao sasa kwa nini kuwashtaki ndio namna wameona kuwasaidia watu kupunguza ukali wa maisha kwa watu wengine ambao hawawezi kununua bandle za gali
Okay lakini kwa tuliokuwepo hiyo ndio hali alisi ilivyokuwa na picha inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii sio yeye yule mtu ana operesheni kidonda kibichi upande juu ya mti?watu waache kupotosha tusubiri uchunguzi ukamilike na tuache kumzushia dada yetu tutasababisha na kuleta mafarakano...
Ahsante amina jamani kama mtu hujui kitu usiongee tuu mtoto nimemuona wala siyo njiti mtoto alikuwa na ugonjwa wa manjano na pia alijifungua kwa operesheni na hakuwa na mpenzi mwingine wala alipata tuu kichaa cha mimba na wala hajauawa na mtu yeyote kabisa na tumekaa na watu wamekutana arusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.