Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba nikuulize kitu kuhusu paypal, au kununua vitu kwenye mtandao, hivi zile bei wanazotaja zinakuwa zile zile au zinazidi, mfano kuna tablet inauzwa dola 300, je zitakuwa hizo hizo mpaka inanifikia au
Hii imekaaje mkuu tupe maelezo kidogoNimependa hii paypal kupitia mpesa account. Nadhani hii ni nzuri kwa mazingira yetu ukizingatia wachache wanazo bank account. Safaricom - M-PESA PrePay Safari Card
Mi inaniambia billing address haifanani na street address, nifanyaje au nini nakosea?
Mkuu mbona mimi nilijaribu kwa kutumia equity ikagoma?kama ni visa card au mastercard inakubali tu usiogope..
Tembo card inakubali tumia CSV Pale ulipo sain kuna namba tatu za mwishi ndo hzoCard yangu ya VISA ilipotea nkaenda kupewa nyingine ya TemboCard-mastercard. Kila nikijarib ku-add another Card, Inagoma.Inasema What should I do!? Coz I need it badly.
Nimependa hii paypal kupitia mpesa account. Nadhani hii ni nzuri kwa mazingira yetu ukizingatia wachache wanazo bank account. Safaricom - M-PESA PrePay Safari Card