Safi sana Dk Tulia tunataka viongozi wenye msimamo kama wewe.
Siyo kama Lisu kigeugeu, mara tutashitakiwa MIGA, mara Lowasa fisadi mara tena anakuwa mgombea wa Chadema!
Hii inaweza kuwa habari mbaya sana kwa Lissu na Chadema kwa ujumla kwamba shombo zao zinapaisha familia ya Magufuli badala ya kuibomoa kama wanavyotaka akina Zito Kabwe, hii ni baada ya mpwa wa hayati Magufuli bwana Furaha Jacob kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi wa CCM kutafuta wawakilishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.