Nenda na wewe ili uwe km yeye wengne wanafanya vibiashara vidogo wanaposubili Mali zao zikue km huku kwetu iringa mafinga mtu anakuwa na ekal 40 za miti ya paina anaposubili miti ikue anakuwa anauza tuu kirabu siku ikifika anauza kila eka milion kumi mara eka 40 tial anamilion 400 akili...
Changamoto watoto yaan ...mkuu hizi ndoa usije ukaona watu wanaishi miaka mingi wanavumiliana kwa mengi sana na wanasitiliana sana na ukitaka ndoa idumu inabid mwanaume uwe unajishusha sana ...tushaambiwa ni viumbe dhaifu
Kusalitiwa ndokunauma zaidi najua hilo ila naomba umsamehe maisha yaendelee mbna wenzio tunagongewa na tunasamehe tuu ili kusongesha gurudumu la maisha
Kaa nae chini ongea nae kiupole atakuelewa tuu ...huyo ni sawa na mtoto wako na pia mwambie kuwa saiv haupo vizuri kiuchumi na unamtegemea yeye kupanga bajet vizur km mdogo ako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.