Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30)
Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923.
Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki:
Inatumia Umeme wa Single Phase;
Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji;
Ina Moulds (vinu) 6 za...
SCHOOL CHALK MACHINE ON SALE
DESCRIPTIONS:
Ina Blocks 6 za Kutengeneza Chaki kila Block ina Matundu 800 (6 Moulds);
Ni Semi-Automatic (Ina Motor ya kufanya Mixing ya Raw materials pamoja na Maji Automatically;
Ina OVEN KUBWA ya Kukausha CHAKI baada ya kutoa kwenye Block/Moulds
Eneo...
NAUZA MACHINE YA KUTENGENEZA CHAKI PAMOJA NA CHAKI DRYER KUBWA
DESCRIPTIONS:
Ina Blocks 6 za Kutengeneza Chaki kila Block ina Matundu 800 (6 Moulds);
Ni Semi-Automatic (Ina Motor ya kufanya Mixing ya Raw materials pamoja na Maji Automatically;
Ina OVEN KUBWA ya Kukausha CHAKI baada ya kutoa...
DESCRIPTIONS:
Ina Blocks 6 za Kutengeneza Chaki kila Block ina Matundu 800 (6 Moulds);
Ni Semi-Automatic (Ina Motor ya kufanya Mixing ya Raw materials pamoja na Maji Automatically;
Ina OVEN KUBWA ya Kukausha CHAKI baada ya kutoa kwenye Block/Moulds
Eneo ziliposimikwa Mashine limekodishwa...
Salaamu wanaJamii,
Nataka kupata mtu anayeleta Samaki aina ya SATO WABICHI kutoka Mwanza kuja Dsm na anauza kwa Jumla tuwasiliane. Nataka kupata Mzigo (Mawasiliano: 0767235923).
Karibu sana!
Mi niliagiza machine zangu toka China, nilifuata procedure za kawaida. Nisafirisha kwa Container ya 40ft mwenyewe na walinichaji $1150 to dsm.
Gharama za kodi zinategemeana na aina ya Mzigo. Kuna kitabu chao cha kodi kinaelezea kila category na aina/kiwango cha kodi (Kiasi cha Import Duty -...
Kwa maelezo haya ya kina ambayo ndo najua kazi haswa za TMAA, Ndg yetu SONGOKO hawezi kujivua hii habari ya Kutumika. hii ndio tatizo la vijana wengi wa kitanzania. Tunajivalisha miwani ya mbao na kuzitupilia mbali elimu zetu tulizozikwaa kwa gharama za walipa kodi wa kitanzania just kwa ujira...
Kwanza, linitaka kujua hizo data ulizotoa hapo ni kwa maeneo gani. Mfano gharama ya kukodi shamba hope inaweza kuvary kutokana eneo na eneo... mimi nataka kufanya Kilosa.
Pili, gharama ya unwagiliaji hiyo inahusisha pump za kusukuma maji au aina gani ya umwagiliaji inatumika?
Tatu, ulisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.