lowasa katika kampeni zake zote hajafanya chochote.hawezi upinzan,hatoweza kuleta mabadiliko nchini.mabadiliko ya kwel ni ndani ya ccm mpyaaa ya magufuli.HAPA KAZI TU.ccm oyee
rais bora ndani ya ccm anakuja.huyu ni yule mwadilifu,mchapakazi,anajua shida za watanzania.TANZANIA nyingine ndani ya magufuli inakuja.chagua magufuli hapa kaz tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.