Recent content by kijanaChakavu

  1. kijanaChakavu

    Kutosajili laini ya Simu kutozwa faini ya Tsh milioni 5 au kifungo cha mwaka mmoja jela

    Hakuna chanzo cha mapato hapo, huyo wa kulipa 5m usawa huu yuko wapi?
  2. kijanaChakavu

    Kutosajili laini ya Simu kutozwa faini ya Tsh milioni 5 au kifungo cha mwaka mmoja jela

    Kuhusu hizo faini isee zimekaa KIBABE KWELI, ila hili la usajili wa awali na wa sasa bado una changamoto, nimesoma mahali katika humu Jf kuna mchezo unaondelea wa kitambulisho chako na kidole chako kikasajili namba ambayo hata haikuhusu, ni hivi Wakala wakati ashachukua taarifa zako yaani namba...
  3. kijanaChakavu

    Ajali ya moto Msamvu inaleta picha ya udhaifu wa vyombo vya usalama

    Hakika huwezi kueleweka, kwanini ilichelewa? saa2
  4. kijanaChakavu

    Tunakoelekea huenda Mashahidi wa Yehova ikaja kuwa ndiyo dhehebu pekee la watu wastaarabu Afrika

    Kwenye biblia yao kutambua taifa kuwa takatifu mmmmh, hapana[emoji1430], kwanza biblia yao ni tafsiri zaidi ndio imetofautiana na hizo nyingine lakini hawana shida na hizo nyingine, kuna unasomeka "....aliumba mbingu na nchi," na ile yakwao "....aliumba mbingu na dunia," umegundua nini hapo?
  5. kijanaChakavu

    Tunakoelekea huenda Mashahidi wa Yehova ikaja kuwa ndiyo dhehebu pekee la watu wastaarabu Afrika

    Inatakiwa ujue kwanza neno "SADAKA" linamaanisha nini? Maana hapa ndio tunapigwa wengi
  6. kijanaChakavu

    Tunakoelekea huenda Mashahidi wa Yehova ikaja kuwa ndiyo dhehebu pekee la watu wastaarabu Afrika

    Tuwekane sawad Tunakumbushana tu, Michael Jackson amezaliwa katika familia ya imani hiyo (wazazi wake), so yeye na baadhi ya ndugu zake si waumini wa imani hiyo kama vile dada'ake Janet Jackson
  7. kijanaChakavu

    Tunakoelekea huenda Mashahidi wa Yehova ikaja kuwa ndiyo dhehebu pekee la watu wastaarabu Afrika

    Hakika ndicho nnachokiamini pia na ndio hata kitabu wanachotumia wakristo kinavyosema
  8. kijanaChakavu

    Tunakoelekea huenda Mashahidi wa Yehova ikaja kuwa ndiyo dhehebu pekee la watu wastaarabu Afrika

    Mbona umewahukumu kabla ya kuwasikiliza hoja zao, si uungwana huo, usiwe wale wasiotaka hoja za wenzao
  9. kijanaChakavu

    Msaada: Pete ya ndoa imetumbukia chooni

    Tumekuelewa! Ila PAMBANA NA HALI YAKO [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. kijanaChakavu

    Namna ya kutenganisha mahusiano yaliyo na matokeo ya mimba ya mwezi 1

    TAMADUNI ZA KIBONGO kila kitu DENI, Hebu wazia Serikali inakusomesha then inakudai ulipe PESA yao, wazazi wanakusomesha sio Wakukwamue ili uje Umudu Changamoto za maisha achilia mbali hilo kuwa ni WAJIBU WAO, Nao wanatarajia UWALIPE FADHILA. BONGO KWELI BAHATI MBAYA
  11. kijanaChakavu

    Bashe aungana na Zitto juu ya mdororo na taarifa ya hali mbaya ya nchi. Uchumi unakuwa kwa 5.9% mabenki hoi

    Huyu Mbunge yupo kwa maslahi ya taifa, Mpango, Muhongo haya MAJINA bado ni tatizo kwa UKUAJI WA UCHUMI WA TAIFA HILI. Tufikiri kivingine
  12. kijanaChakavu

    Picha ,,Fake“ za Tundu Lisu!

    [Q UOTE="kivyako, post: 24060141, member: 69166"]Hatuna event jamani ya kufunika hizi habari za Lissu? Maana zinataka kuibuka tena Kwa ile ya Meja Jeneral ilifia wapi? Tehtehteh[emoji38][emoji38][emoji38]
Back
Top Bottom