Innobwoy
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 979
- 532
Sawa ni fake na amefariki umeridhika sasa?????Kama hazikuwa ,,fake" tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?
Sawa ni fake na amefariki umeridhika sasa?????Kama hazikuwa ,,fake" tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?
Tuma zako kwanza tukuone.....unataka kila siku pics za TL umekuwa mama yake ili ujue mwanao anaendeleaje?Kama hazikuwa ,,fake" tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?
Noo, huu ushauri tuurudishe kwa wana ccm waliowaita wenzao wasaliti wa ccm kisa kwenda kumtembelea Lema gerezani,Huwo ushauri wape chadema ambao hawataki Tundu Lisu apumzike na kutwa kumtumia kwa manufaa yao binafsi!
Sugu naye kafanya photoshop.Kama hazikuwa ,,fake" tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?
Albadiri huwa haimuachi mtu salama.Jeneza liko wapi, weka picha?
Sio lazima sana ujibishane na hao watu... Nina rafiki yangu yupo kwenye hicho kitengo cha uropokaji mitandaoni. Sasa hivi amepewa kinafasi kwenye halmashauri moja. Mwanzo sikuwa namuelewa kabisa, nilikuwa naona ni kijana mwenye mambo ya kizee.... Nimekuja kumuelewa hv karibuni tu, siku aliyoniambia hii kazi ndio inayoniweka mjini, ila najijua mwenyewe... Sasa usijibishane na watu wa aina hiyo, wanapewa mikakati. Wengine wharsapp, wapo wa facebook na insta ndio hawa wengine huku JF. Unalipwa kadri unavyomwaga upupu, wanapigana kufa na kupona lisionekane jina lolote kuwa juu ya Mteule alietukuka (Mfalme)... Lakini sasa mtu mwenyewe ndio hivyo habebeki, unamsaidia kumpandisha mahali akishafika juu anakukojolea. Jina la mteule likitajwa mara moja la Lissu linatajwa mara tatu. Hasira ndio zinazidi. Siku zote ili ukijue feki unalinganisha na Original, anaesema picha ni feki atupe yeye original tujiridhishe. Vinginevyo utakuwa ni mwendelezo tu wazungu wanasaini proposal ili ikajadiliwe na wafanya maamuzi, sisi tunashangilia na kupongezana tunalipwa mabilioni.Mimi sidhani kuwa na roho mbaya ni sifa, na sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kusisitiza juu ya picha halisi kuwa ni picha feki, lazima atakuwa na matatizo makubwa katika mwili wake.
Lazima atakuwa anahitaji msaada tena mkubwa.
Unajua kuwa kichaa siyo lazima uvue nguo , ni matendo yatakutambulisha tu kuwa wewe ni kichaa.
Mwambieni huyoo !Kabla hujafa hujaumbika
Jipige ujirushieKama hazikuwa ,,fake" tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?
Nilitegemea unazikanusha alafu ulete wewe hizo picha "real" lasivyo unaweweseka tuKama hazikuwa ,,fake" tunaomba tuone nyingine, mbona hamturushii mpya?