Hahaaaa!
CCM ilipomchagua makufuli iliona ahueni japo chaguo lao alikuwa Membe ukweli ulio wazi wananchi wameichoka CCM leo Magufuli anaonekana kichekesho kwa unyenyekevu wa push up anaoufanya jukwaani ata uwezo wa upishi anaotamba nao imekuwa kama kichekesho ukiongeza na ze comedy bas ni...
Nimekuwa nikifatilia ukarimu WA CHAMA tawala na niwapongeze KWA juhudi wanazoonyesha kipindi hiki CHA kampeni KWA kuwasaidia WATU kwenye kampeni......
Ila pasipo na Shaka ukarimu huu ungeonywesha katika uongoz wao LEO wananchi wasingeitaji MABADILIKO.....Ila KWA HAPA NI waz HUU NI USANII na...
Niliandika Post yangu naona imegeuzwa Eti umerindima kwa ujio wa Makufuli jambo hilo si kweli
watu wameenda uwaanjani na sasa kila mtu anashika njia yake na kusepa taratiuuu.....kilichoavutia wengi hapa ni show
na hao waliobaki wale walioetwa na malori.........wanasbiri usafiri!!
Zaidi YA MASAA 3 sasa WASanii wanaomba TU
Now jukwaani NI TEMBA NA CHEGE
WAMEPANDA WASANII WENGI!!!
ILA WASIFUNGE MILANGO BAADA YA WASANII KUMALIZA MAANA WATABAKI WENYEWE!!!!
Wapendwa Naombeni kujua series Kali
Zenye Action na kutumia Akili km prison break
Zisiwe ZA mazombie...wala zinazoonyesha computerlized adi zinaboa
PLZ PLZ msaada WENU wadau ZIWE action na zenye kutumia akili
....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.