Huu usafiri umeshindikana waturudishie daladala tusingekuwa tunateseka kama tunavyoteseka jana sisi muhimbili to mbezi tumekaa toka saa 11 hadi saa 2 na 30 ndo ikeja gari ndogo masaa 3 bila gari kufika anaesema kuna daladala za mnazi huo ni uongo waliziondoa zikabaki chache waturudishie daldala
Sehemu nzuri kibaha kibaha kibaha kibaha kuanzia maili moja hadi misugusugu Sehemu nzuri sana na kumejenga sana kulinganisha kibaha na bagamoyo kisarawe mkuranga chanina sijui chanika nikuikosea heshima kibaha huko chanika na baba yangu amejenga kwangwale kaamua kupauza bei yenyewe ya mboga...
We msukuma Acha kuingizwa mjini mbagala sio sehemu ya kuishi kwa mtu mwenye akili unaonekana unapenda uswahili majungu na uchawi huko wanaishi wamakonde kwani na ww umekuwa mmakonde mbagala ni sehemu ya ovyo ambayo imejaa squatter futi 40 kwa 40 kwani unataka kujenga nyumba au kitufe choo ovyo...
Pemio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio premio
Vanguard Vanguard
Halafu mbaya zaidi anaishi mkoani maisha simple anaenda kazini kwa mguu hatumii nauli akitoka kazini anawahi kufika angekuwa dar angesemaje kuna watu hata laki 5 haifiki ma wana madeni wamekopa je wao wanaishije wewe nunua kila kitu mkeo mpe hela ya chai tu per week halafu hao wazazi unawatumia...
Kwa hio wewe unaamini kwamba watu wote ni sawa na vipato vinalingana kwa hela gani watu wanazolipwa na mfumuko wa bei ya vitu nani ataweza ku afford bajaji na pikipiki na bolt toka mbezi kwenda kariakoo kivukoni au muhimbili kwenda na kurudi huyo mtu anaingiza sh ngapi hizi gari zinawabeba sana...
M
Mwamba #Tlaatlaa katia mguu sema nini huu mradi watu wanateseka sana zaidi ya sana ni machungu full wizi hamna usafiri tunatumia tu ila basi bora warudishe daladala watu wamechoka sana inavyoonekana hata kuleta mabasi yenyewe imekaa kisiasa mbona mbagala huu mwaka wa 3 toka barabara imeisha...
Wala hujakosea kabisa mkuu usicheke na mwizi kuna jirani yangu alivamiwa na vishandu wako na mapanga wakamukata vibaya sana hadi leo shingo haigeuki anageuka mwili mzima kapoteza muda mwingi hospital je hao wezi walichomfanyia ni sahihi auliwe tu nasema tena kwa herufi kubwa HATMA YA MWIZI NDO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.