Recent content by Kijana ushe2

  1. Kijana ushe2

    Matokeo darasa la nne yamechelewa sana

    TUSUBIRIE alhamis au ijumaa tarehe 4.1.2024 au 5.1.2024
  2. Kijana ushe2

    Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!

    Watu walimzushia kifo yaani huyu mheshimiwa ni mpole mkatimu hana baya!!! MWENYEZI MUNGU AMLINDE ZAIDI NA ZAIDI
  3. Kijana ushe2

    Kwa ufaulu huu kidato 6, 2023. Bila upanuzi vyuo vikuu ni Div one tu wataingia vyuo vikuu

    Labda all kuwa HGE AU HKL!!! tusidanganyane yaani PCM,PCB,PGM AU PMC ashindwe newton's third law of motion!!!!
  4. Kijana ushe2

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    HII NCHI YETU IPO KWENYE UPANDE WA VATICAN!!! ndio maana wanafanya rotation ya Marais Ili wazanzibar wapate nao rais nje ya hapo RC INAHUSIKA
  5. Kijana ushe2

    2013 kurudi nyuma ukipata division one watu wanakushangaa ila siku hizi ukiikosa watu wanakushangaa zaidi!

    Mkuu nimekuambatanishia mitihani ya mwaka Jana format mpya na mwaka 2013 nimeweka Pepa zake!!!! Hapa hakuna utofauti na maswali ya Sasa yanakuja technically sana!!!
  6. Kijana ushe2

    Angalia hapa Matokeo ya Kidato cha 6 mwaka 2023

    Mkuu unaamini matokeo haya ni sahihi???? Usifurahie hata kidogo reflect miaka 10 iliyopita na Leo utapata majibu sahihi zaidi!!!
  7. Kijana ushe2

    Mwanafunzi aliyekuwa anasoma EGM akapata EEF anaweza kusoma diploma?

    Mwambie akasome diploma!! Yaani jinsi matokeo yalivyotoka mazuri hivo shule zote Tz yeye ndio kafeli hivo!! Huyo atakuwa wa mwisho kishule
Back
Top Bottom