Kwanza pole kiongozi kwa saibu hilo. Ninavyofahamu na pia ningependa ufanye yafuatayo:
1. Tafuta mawasiliano ya shule aliyochaguliwa kijana huyo upate ya mkuu wa shule na umweleze kinaga ubaga kuwa kijana alikuwa mgonjwa mwalimu atakuelewa sana na hapo atamuadimiti (apampa admission number) na...
Mkuu nimekuambatanishia mitihani ya mwaka Jana format mpya na mwaka 2013 nimeweka Pepa zake!!!!
Hapa hakuna utofauti na maswali ya Sasa yanakuja technically sana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.