Recent content by kijana mpambanaji

  1. kijana mpambanaji

    Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwasasa

    Watambue Kila nabii na zama zake
  2. kijana mpambanaji

    Bata batani, Tusanue ni bata gani Usha wahi liona mkuu?

    Kaka mshana heshima kwako kaka🙏 nakukubali sana bro
  3. kijana mpambanaji

    Bata batani, Tusanue ni bata gani Usha wahi liona mkuu?

    Kaka mi napambana nipate lishangazi limoja kaka, Bora umekuja fanya jambo basi, liwe na hela lakini,
  4. kijana mpambanaji

    Mchekeshaji maarufu kutoka Senegal na ambaye anaishi Italy ameepuka mtego wa wazungu

    Najuta kuleta shida zangu humu Yani sahivi Niki changia Uzi kidogo tu mnani attack as if cjui nini tu
  5. kijana mpambanaji

    Naanza biashara ya kuku, wapi nipeleke kati ya Dar es Salaam na Dodoma?

    Kaka sijakuuliza kwa Nia mbaya nashangaa unaanza Kuni attack masikini, Sasa mambo ya mjomba wangu yameingiaje hapa? Mi niona nyuzi zako zamani ulikua unahamasisha vijana waende Zanzibar Kuna fursa nikashanga Leo unaleta habari za kuku, kaka nikaona nikuulize kiundani sikujua kama utalipokea...
  6. kijana mpambanaji

    Bata batani, Tusanue ni bata gani Usha wahi liona mkuu?

    Hapana mkuu, maisha lazima yaendelee Hakuna kitu bata lina liwa kama kawa
  7. kijana mpambanaji

    Bata batani, Tusanue ni bata gani Usha wahi liona mkuu?

    Hapana mkuu, maisha lazima yaendelee kaka
  8. kijana mpambanaji

    Bata batani, Tusanue ni bata gani Usha wahi liona mkuu?

    Dubai mkuu, Zanzibar ni usiku tu ndo Kuna vibe kwenye full moon party, zanzibar hawaja fikia hio level ila soon nungwi panaandaliwa kitawaka
  9. kijana mpambanaji

    Bata batani, Tusanue ni bata gani Usha wahi liona mkuu?

    NIPO Zanzibar, nimeshangazwa na hotel zimechangamaka kwenye hii sikuku kwa kweli wakristo mnajitahidi kusherehe, sikuku ya idd sikuona kundi kubwa la watu kuja zanzibar vacation ila xmass,new year, na leo Easter, hongereeni Aiseee. Nikapata muamuko kuangalia vacation za Dubai, daah Aiseee watu...
  10. kijana mpambanaji

    Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Mzee usiseme hivo, yaache tu, Kuna kijana huku, kamuua mama yake, kwa kumchoma, kisu, Kuna kijana Arusha alikua mtukutu, wazazi wanamtetea kaja kaanza kuwapiga wote na ni wazee
Back
Top Bottom