Kaka sijakuuliza kwa Nia mbaya nashangaa unaanza Kuni attack masikini, Sasa mambo ya mjomba wangu yameingiaje hapa? Mi niona nyuzi zako zamani ulikua unahamasisha vijana waende Zanzibar Kuna fursa nikashanga Leo unaleta habari za kuku, kaka nikaona nikuulize kiundani sikujua kama utalipokea...
NIPO Zanzibar, nimeshangazwa na hotel zimechangamaka kwenye hii sikuku kwa kweli wakristo mnajitahidi kusherehe, sikuku ya idd sikuona kundi kubwa la watu kuja zanzibar vacation ila xmass,new year, na leo Easter, hongereeni Aiseee.
Nikapata muamuko kuangalia vacation za Dubai, daah Aiseee watu...
Mzee usiseme hivo, yaache tu, Kuna kijana huku, kamuua mama yake, kwa kumchoma, kisu, Kuna kijana Arusha alikua mtukutu, wazazi wanamtetea kaja kaanza kuwapiga wote na ni wazee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.