Mkuu shida ni kua according to wao wanadai alikua kwenye mgogoro na mpenziwe, ikapelekea kitofautishwa vyumba vya kulala, man chake na huyo dada chake probability ya man kuhusika inakia ndogo sababu vyumba vilikua tofauti, na dada alijinyonga, inge kua sumu labda ingeonekana aliwekewa muda sana...
ASANTE MKUU KAMA UNAONA NASTAILI TUZO YA TUSI HILO, UBARIKIWE, MI NISHA KUWA MTU MZIMA, KUNA UMRI UKIFIKA HATA KUMTUKANA MTU NASHINDWA, POLE SANA KAKA, USIKU MWEMA
Hao hata miaka hiyo walikuwepo, kibao sana, mwaka juzi tu nimetoka huko, machimbo yote ya watoto wazuri nayamanda kinoma, mi nilikua naishi chini tu hapo, usawa wa ghorofa ya Tecno, nawajua hao Malaya wengine nimeishi nao nyumba moja
Kaka humo nilikua naaingia daily, sababu xo lounge pale jirani ni kingilio, ukitoa jtatu,jnne, jtano ka sikosei, picnic mademu wengi mishangazi matako fresh ila shida mwanga humo mkali sana, pale njee nilikua nacheki sana mechi za uefa sana tu, ukikaa nje unaangalia chote kinacho endelea ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.