Recent content by Kijana matata

  1. Kijana matata

    Msaada wenye uzoefu na waliosoma Open university

    Open ngumu mnoo tofauti na ufikiriavyo, na mtaala umebadilika. Wanaodahiliwa ni 200 kwa mfano ila wanaohitimu ni watu 7. Ni miongoni mwa vyuo vigumu sana kutoboa kwa msuli wake. Nimesoma OUT tena nikiwa nimetoka FORM six moja kwa moja nikiwa bwana mdogo.
  2. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Website ipo katika maboresho katika mfumo wa DNS, muda si mrefu itakuwa sawa.
  3. Kijana matata

    Nafundisha kusoma, kuandika na kuhesabu kwa watu wazima

    Kama wewe ndiye uliyefika chuo kikuu basi ni msiba mzito sana kwa taifa, mwanachuo kikuu huwezi hata kupembua mambo na kusoma kwa uwelewa kwa tangazo dogo kama hili, unapaswa kurudi tena chuo ukajifunze mambo, bado wewe ni mweupe mnoo. Soma tena andiko langu hilo la juu hadi mwisho, usikaze...
  4. Kijana matata

    Nafundisha kusoma, kuandika na kuhesabu kwa watu wazima

    Nafikiri ndugu yangu hujasoma vizuri tangazo, soma tena ili uelewe mkuu, usikaze kichwa ndugu yangu, soma tena mkuu.
  5. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Ndio unaendelea ulipoishia kwa kufuata hatua zote za kuhamisha kozi zako yaani credits transfer.
  6. Kijana matata

    Nafundisha kusoma, kuandika na kuhesabu kwa watu wazima

    Eeeeh ndugu yangu. Hakuna ukweli nitakao sema zaidi ya hayo maelezo mkuu.
  7. Kijana matata

    Msaada: Badala ya kujisajili kama local Undergraduate Applicant, kajisajili kama post graduate applicant

    Hii hadi uende makao makuu. Kama upo dar nenda makao makuu, Temeke, Veterinary. Kama upo mkoani ninaweza kukusaidia ndugu yangu.
  8. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Kwasasa mfumo wa assignments kwa wanafunzi wa OFP haupo, continuous assessment iliyobaki kwa OFP ni MTT tu, ukifanya MTT jiandae na AE ndugu yangu. Hivyo haina athari ukiacha kufanya Assignments zilizopo moodle, na nyingi zimepita muda wake, kuanzia mwaka mmoja hadi miaka minne.
  9. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Ingia www.out.ac.tz utapata taarifa zaidi kuhusu udahili
  10. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Ndio, mahusiano yapo. Elimu inayotolewa OUT ni kwa mfumo wa masafa yaani hiyo OPEN AND DISTANCE LEARNING (ODL). Ingawaje kuna baadhi ya kozi hukutana ana kwa ana walimu na wanafunzi kwa mwaka mara moja, kama vile practicals kwa wanafunzi wa sayansi na sheria pia.
  11. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Sasa uliuliza na ukajibiwa kiusahihi, baada ya hapo unapaniki ndugu?? How?? Punguza stress kwanza ndugu yangu kabla hujatumia mtandao wa kijamii kama huu.
  12. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Inaangalika na masomo ya kufundishia, ila kiujumla mwanafunzi anatakiwa akamilishe jumla ya units 40 kwa programu yote yaani masomo ya kufundishia na yale ya education.
  13. Kijana matata

    Nafundisha kusoma, kuandika na kuhesabu kwa watu wazima

    Habari wakuu, Kichwa cha habari chajieleza, nina darasa kwa ajili ya kujifunza kusoma, kuandika na kuhesabu Kiswahili na Kiingereza kwa watu wazima. Unaweza kuja darasani Yombo Dovya, Temeke, Dar es Salaam au namfata mwanafunzi popote alipo ndani na nje ya Dar es Salaam. Karibuni kwa ajili ya...
  14. Kijana matata

    OUT: Foundation course ipoje kwa waliosoma?

    MOSHI HAPO KIPO KITUO CHA OUT, nenda watakupa A-Z
  15. Kijana matata

    Uliza chochote kuhusu kujiunga Chuo Kikuu Huria Tanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suruhu Hassan amesoma OUT, kwa level ya masters, kama haupo vizuri kichwani OUT huwezi toboa, OUT ni chuo kigumu sana kwa hapa Tanzania kuliko chuo chochote kile.
Back
Top Bottom