Ndugai , hupaswi kuyasema hayo kwa wabunge wanojua umefunja katiba, maana yake hujali sheria za nchi. KWA mujibu wa katiba yetu hatuna Mbunge binafsi, Mbunge anayetokana na chama ,uwanachama wake ukikoma na ubunge wake hukoma pia. Umefunja katiba, unataka kujadiri ndege! Anza kwanza kusafisha...
Hajakosea amoena mwanga ,ametambua hakutenda haki kwa baadhi ya watanzania, amejua alikosea, amejua hawezi kufa na.chama,.atakufa Yeye na mbele Mungu atasimama yeye ,chama kitabaki duniani.
Badala ya kuhuburi amani , ni wakati sasa watanzania tuhubiri haki ambayo hiyo imebeba amani. Ccm...
Hongera Rais Mwinyi' agiza chanjo,wataalamu wakithibitisha zinafaa,chanja watu wako. Zanzibar huru,nchi huru.
Mungu akuzidishie maisha marefu kwa kuchukua hatua za kutekeleza kiapo chako" KULINDA MAISHA YA WAZNAZIBARI"
Huwezi kuikataa adhabu ya Mungu kwamba haipo wakati Mungu ameamua kuishusha kisha Taifa la
Ikabaki.salama.
Rais wangu kukubali korona.ipo.na.kuwapima watu wako ili kujua ukubwa wa tatizo NI moja ya uwajibikaji wako kwa watu wako.
Nchi imevamiwa na adui ,ana silaha kubwa ,na za kisasa.
Badala...
Acha wahangaike. Hakuna mzalendo wakati hajui kesho yake. Uzalendo haujengwi kwa historia ya nchi.
Bali uzalendo hujengwa na haki ,usawa , furaha, na uhuru katika Taifa.
Tueleze tofauti yake ,Mkulu kamtaja NI mtu mmoja , alinunua viwanda avifufue ,badala yake akavichukulia mkopo ,mkopo akanuanua mabasi.
Kumbe mkulu kalishwa uhalo naye katoa uhalo! Tueleze tofauti yao
Hapa suala siyo anachukua , bali alinunua. Ikawa mali yako ,ukumbuke hakuingia ubia na serikali.
Ukiwa na.mali yako Unaweza kuibadidrishia matumizi kulingana na mahitaji yako, hesabu Zaki za faida.
Kwa Hili la.Abood sioni kwa Nini ashambuliwe hadharani vingenevyo NI mipango tu ili kutuamisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.