Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

Tuendelee kumkumbusha Dr. Mipango kuwa adui wa Tanzania ni wale wale; Ujinga, Maradhi na umasikini wala si Upinzani. Aache kujitoa ufahamu.
Umesahau adui mkubwa na wa kwanza wa Tanzania sasa ni CCM. Mosi, wanataka watu wote tuwe wapumbavu na mataahira ili ifike wakati wakisema kwetu Tanzania jua linatoka masgharibi na kuzama mashariki tuimbe wimbo huo huo bila kujali ukweli (Kwa mantiki hiyo, CCM inatamani wakati wote watu wawe wajinga). Pili, wanatamani watu wengi wawe maskini hohe hahe ili kiongozi wao akiwagawia hata shs. 10,000 wamwabudu badala ya Mungu wetu wa kweli, ndiyo sababu wakajiita watetezi wa wanyonge. Kwa nini kuwe na wanyonge katika nchi iliyopata uhuru miaka takriban 60 iliyipita.
Kwa hiyo CCM ni adui namba 1 wa nchi hii
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Kusema kilichotokea kwake, na kutoa maoni yake kuhusu kiongozi fulani kina husika vipi na kuchafua nchi?
 
Umesahau adui mkubwa na wa kwanza wa Tanzania sasa ni CCM. Mosi, wanataka watu wote tuwe wapumbavu na mataahira ili ifike wakati wakisema kwetu Tanzania jua linatoka masgharibi na kuzama mashariki tuimbe wimbo huo huo bila kujali ukweli (Kwa mantiki hiyo, CCM inatamani wakati wote watu wawe wajinga). Pili, wanatamani watu wengi wawe maskini hohe hahe ili kiongozi wao akiwagawia hata shs. 10,000 wamwabudu badala ya Mungu wetu wa kweli, ndiyo sababu wakajiita watetezi wa wanyonge. Kwa nini kuwe na wanyonge katika nchi iliyopata uhuru miaka takriban 60 iliyipita.
Kwa hiyo CCM ni adui namba 1 wa nchi hii
Kama tu wananchi wangekuwa si wajinga na si masikini, CCM asingekuwa adui. Vyama vya siasa vipo dunia nzima.
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Aliongea vizuri sana. Alipo fika mwisho akajinyea.
Yaani anaonekana nae ni wale wale wezi wanao hubiri amani lakini hawataki kukosolewa. Mzee masifa kama yule alie tamani kuwa kiongozi wa malaika.
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Usiwe na haraka, subiri usikie nini kinazungumzwa kwanza kwa HOJA.
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu analeta vijembe vya ccm na kukufuru kuwa ana uhakika atakufa akiwa ccm. Swali kumuuliza huyu aliyeharibu uchumi akiwa na lile lidikteta, ccm ikifa kabla hajafa, atajiua?
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Hivi bado mnapoteza mda kufuatilia huyoo kijana wa singidaa?? Polenii
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani huyu Jana tu amaesahau matokeo.ya uchaguzi?
 
Ameshanikatisha tamaa kwa huo msemo wake. Alichofanya Mwendazake anaona alifanya vema kununua upinzani. Amesema yeye ni mcha Mungu na akumbuke hata mwendazake alisema yeye ni mcha Mungu. Kwa kauli zake ninachelea wacha Mungu hawako hivyo labda wachungaji wanisaidie lakini siyo Gwajima. Mcha Mungu ni mtenda haki. Haki ni pamoja na upinzani kuwepo bungeni. Hiyo ya kusema wajiunge na CCM chama ambacho wanatumia guvu kubwa sana kukubalika kwa wananchi si sawa. Anyway time will tell. CCM in ilie ile na hatutegemei maajabu sana pamoja na kwamba mwendazake alitaka sana kufanya maajabu lakini yaleyale yamejirudia.
 
Lissu atasema ukweli kuhusu Mwendazake wakati PLO Lumumba atapiga propaganda ambayo ilikuwa inamwingiza "chaka" Mwendazake bila yeye kujitambua kwa maslahi ya Kenya.

Bahati mbaya Mwendazake alikubali sifa zaidi kuliko ukweli. Na wafuasi wake mkawa "wazalendo wa sifa za mtu" kuliko wazalendo wa nchi kwa kukumbatia ukweli unaoweka huru watu.
Lumumba aliamua kulipoteza nalo likakubali na sasa yamepotea yote.Haya majitu ni mahoho kabisa.
 
Lakini ndio wanaokuongoza hao.. Ili ujue uzezeta wao nenda ofisi yoyote ya CCM atamke hayo maneno uone utaingizwa nini kwenye shimo lako linalotoa uchafu
Kumbe huko ccm mnaingiza vitu kwenye mashimo yenu?
Utakuwa imeshakuwa na kubwa mno! Maana uko ccm siku nyingi
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa kwa kusema hivyo ni kuleta utani, mpe kwanza nafasi ya kutoa dukuduku lake moyoni ndio ndio ulete huo mzaa alooh laa sivyo subiri akushangaze kwanza ndio utamfahamu kiundani jinsi alivyo.
 
Back
Top Bottom