Pole sana kijana, ndoto huchangiwa kwa kiasi kikubwa na mazingira unayoishi, matarajio yako pia changamoto unazopitia; kwa kifupi mustakhabari wa maisha yako ni mbaya kwani una mawazo tegemezi/ombaomba na usipochukua tahadhari utakufa maskini.
Nimebadilishiwa mita tangu tarehe 25 Nov'23 lakini hadi leo mita mpya Na. 24316665157 haiwezi kuingiza token na hivyo niko gizani kwa zaidi ya siku 10; Na. ya taarifa karibuni ni 4568614, kama kuna malipo niambieni
Bakhresa ni tajiri Na. 4 hapa Tanzania baada ya Ally Awadh wa LAKE OIL wakifungana kwa utajiri wa $600 Mil kila mmoja wakati Mo ni Na. 1 kwa utajiri wa $1,500 Mil ($1.5 Bil) akifuatiwa na Rostam Aziz; maandazi huwa hayana faida sana[emoji1787]
Toyota
Kama ni gari ya kutembelea kwa Tshs 60Mil namshauri anunue Toyota Harrier 4WD New model, yenye chini 50,000 km ya mwaka kati 2014 na kuendelea; Utanishukuru
Hatua iliyochukuliwa na Waziri Mkuu (ya kumsimamisha kazi A/Ugavi) ni sahihi kwani ndiye aliyenunua hizo 'tiles' mbovu na kama aliagizwa basi ni yeye atakayetoa taarifa/maelezo hayo kwa dola!
Kwa utaratibu tunaoenda nao Bashe atapewa huo uwaziri lakini Prof. Mkenda msimamo na kauli yake bado itaendelea kuwa na mashiko;
Wenye viwanda vya sukari wananunua sukari ilizoisha muda na ya viwango vya chini nje ya nchi na pia kupitia Zanzibar kwa gharama ya chini kufikia 40% ya gharama ya...
Mleta mada amesema yeye anafanyakazi kule kwa waarabu hivyo huwa anasikia wakiongea baada ya kurudi toka kazini na kuna shoga mwenziwe kamuunga mkono, kwa hiyo ni maneno ya kusikia na hisia za mtoa mada;
Kwa kifupi mradi utakamilika kama ilivyopangwa hasa baada ya Mama kubuni mbinu za kupata...
Hakuna unafiki wowote ktk suala hilo kwani Mhe. Rais alikuwa sahihi kumchamba/kumsema na kumkosoa Mhe. Abood kwani alichokifanya ni sawa UHUJUMU UCHUMI ila kwa awamu zilizopita ilikuwa ni DILI; mkopo aliopewa kufufulia viwanda ungezalisha ajira ya zaidi ya 6,000 wkt yeye kanunua mabasi ya...
Mtumishi yeyote unapoajiriwa lazima ufahamu na kuheshimu Mkataba wako na kwa kawaida unapaswa kumtaarifu mwajiri wako miezi 6 kabla ya kipindi chako kwisha hivyo Prof. Assad alipaswa kuomba kutayarishiwa stahili zake tangu mwezi Mei '19;
Mwajiri kama atakuhitaji uendelee ndipo utaendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.