kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 627
Miaka yake mitano teyari anaweza kwenda kulea wajukuu zake. Na kwa mujibu wa sheria ukishakuwa CAG haruhusiwi kujiunga na chama cha siasa
Musa Asad alitaka awe kama Mbowe, muda umekwisha mzee. Ukiona CAG anakalia kiti hapo kwa muda mrefu ni matakwa ya mtawala tu lakini kisheria ni miaka 5 au utumbuliwe kwa maslahi ya umma
Katiba ajatunga Mungu, kifungu 1 kinakulinda kifungu 1 kinakutumbua..
Musa Asad alitaka awe kama Mbowe, muda umekwisha mzee. Ukiona CAG anakalia kiti hapo kwa muda mrefu ni matakwa ya mtawala tu lakini kisheria ni miaka 5 au utumbuliwe kwa maslahi ya umma
Katiba ajatunga Mungu, kifungu 1 kinakulinda kifungu 1 kinakutumbua..