Recent content by KIGONGO JOHN

  1. KIGONGO JOHN

    Serikali yafuta ongezeko la kodi mbalimbali

    vp cm maana hapo kwny kutuma hela kwa cm itakuwa balaa na wanaoathirika zaidi wale wanotuma elfu kumi au kumi na tano wa laki saba milion moja wala hawaumii si wanazo hata akikatwa elfu tano haoni uchungu.
  2. KIGONGO JOHN

    CHADEMA isipo thibitisha uhusika wa Polisi -bomu Arusha kabla ya trh 30.....

    haya acha tukubali CHADEMA walilipua bomu kama mnavyotaka, je polisi walioukuwa wanapga risasi za moto nao ni CHADEMA? maana minong'ono inasema mlipuaji alikimbia na gari ya polisi, je CHADEMA wanamiliki dola? uctumike kama CONDOM kisha wakakutupa kama maganda ya muwa baada ya kufyonzwa.
  3. KIGONGO JOHN

    Kigoda cha mwalimu live ITV

    cc wametukatia umeme ili tucone.
  4. KIGONGO JOHN

    Mbowe 2013 Arusha Kama Marion Suge Knight 1996 Las Vegas

    kwani police si walikuwepo uwanjani? hawakuona yaliyotokea? wanataka ushahidi wao kama nani? ushahi si hpelekwa mahakamani? kama ishu ni ushahidi kwa nn polisi wautake wa mbowe
  5. KIGONGO JOHN

    Siri ya mafanikio ya CCM ktk chaguzi za kata uliofanyika juni 2013, waraka wafichua kura 1 Tsh45,000

    Unaweza shnda hata goli mia lakini wakati huo mpinzani anahtaji goli moja tu kubeba kombe. KATA = 22 CCM = 16 CDM = 06 KABLA YA UCHAGUZI CCM = 20 CDM = 02 kama kweli una akili timamu kwa ufafanuz huo nani kapewa kipigo cha mbwa mwizi.
  6. KIGONGO JOHN

    CHADEMA Yazidi kung'ara

    Langu jicho
  7. KIGONGO JOHN

    VIDEO: Mwigulu aonya, Arusha wakiikataa CCM watakufa

    nlikua siamini kuwa kuna watu bado wanaipenda CCM. hebu nishawishini nami maana bdo cjafanya uamuzi wa kuwa na chama kuna nn huko?
  8. KIGONGO JOHN

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    sawa kabisa hayamuhusu, hivi inakuwaje muuaji ndo anakuwa msemaji msibani?suala la babu ama kutokuwepo linakuhusu nn we gamba la kobe?
  9. KIGONGO JOHN

    Live updates: Matokeo ya udiwani kwenye kata za uchaguzi - Juni 16, 2013

    cna chama chochote ila najickia vibaya kuona vijana mkipenda vyama vya siasa kwa ushabiki ama kwa kudanganywa tu. mnawadanganya hata wazazi wenu kuwa maisha bora yatakuja tu wakati wanaendelea kupgika. VIJANA NI TAIFA LA LEO.
  10. KIGONGO JOHN

    Tukio la Bomu Arusha: The game was planned - kauli ya baadhi ya polisi

    ifikie wakati vyama vyote vya siasa vijue kuwa kuna sehemu vinakubalika sana na kuna sehemu havipendwi hata robo. CHADEMA leo hakiwezi kutamba mikoa ya kusini au ZANZIBAR. CCM ikubali ama itake ama isitake ARUSHA hakipendwi. wasilazimishe mapenzi washapewa talaka mbona CHADEMA waelewa sana...
  11. KIGONGO JOHN

    Waziri wa Fedha, Dr Mgimwa awasilisha Bajeti ya serikali 2013 - 2014

    kwani we ankusumbua nn labda? mbona unakuwa kama mliberali wakati siyo?
  12. KIGONGO JOHN

    CCM yapata pigo baya Lugata

    kumbuka kamanda mawazo ni mzee wa poli kwa poli, kijiji kwa kijiji msitu kwa msitu haonekani mjini na kama akionekana basi ataacha gumzo kubwa sana. kwa hiyo arusha wasubiri watamuona tu yupo polini kidooogo. big up kamanda.
  13. KIGONGO JOHN

    Enyi Viongozi wa CHADEMA, Salamu yenu ya People's Power inachakachulika! Leteni ya Kiswahili

    Sikilzeni nyie ccm, chadema wanazo salamu za kiswahili: 1.kiongozi:chadema wananchi: Vema 2.kiongozi: Tunajivunia nini? wananchi: Nguvu ya umma.
Back
Top Bottom