Recent content by Kigoma Independent

  1. Kigoma Independent

    Nimemaliza kidato cha 6 PCB mwaka 2024 na kubahatika kupata 1.9, naombeni ushauri

    Omba mwaka huu lakini usiombe MD, kuna kozi nyingi za Engineering and Business related ambazo watu wengi wanazichukulia poa ila zina fursa nzuri sana na ziko marketable. Mimi nilikua kama wewe ila kutokana na hali ya uchumi home nikasoma Business related course nakuhakikishia ni moja ya mawazo...
  2. Kigoma Independent

    Kozi gani nzuri kwa kombi ya HGK?

    Community development, Psychology, Social Work, Sociology, Project planning and management, Laws.
  3. Kigoma Independent

    Ipi kozi bora kati ya Bachelor of Banking and Finance and Bachelor of Economics and Finance

    Bachelor of Economics and Finance. Unaweza kuwa. Economist, Researcher, Compliance Officer, Monitoring and Evaluation Officer, Finance Management Officer/Analyst, Project Officer, Loan Officer, Tax Management/Custom Officer.
  4. Kigoma Independent

    Course gani inayohusiana na biashara ambayo itakuwa na mashiko Kwa hapa Tanzania

    Umesoma combination gani? Je ni kwa level ya degree, diploma au Certificate?
  5. Kigoma Independent

    Asome ipi kati ya Bachelor of Economics & Finance (BEF) na Bachelor of Accounting & Finance (BAF)

    Bachelor of Economics and Finance, kozi marketable sana na hatojuta both private and government.
  6. Kigoma Independent

    Kati ya advance na chuo ipi njia nzuri zaidi?

    Nenda Advance HGE uje ule mema ya nchi na chuo kasome Bachelor ya Economics au Economics and Statistics.
  7. Kigoma Independent

    Msaada: Course nzuri ya kusoma upande wa uchumi

    Soma kozi kati ya hizi. Economics, Economics and Finance, Economics and Statistics, Business Administration au Accounting
  8. Kigoma Independent

    Wenye ufahamu kozi ipi nzuri

    Water supply and sanitation engineering. Ila ukisoma water and irrigation engineering au civil Engineering itakua Bomba sana.
  9. Kigoma Independent

    Wajuzi msaada kwa hili

    Ndio unaweza kupata ila nakushauri uombe UDOM kozi ya Bachelor of Economics, au MZUMBE au UoI Bachelor of Economics and Finance.
  10. Kigoma Independent

    Combination ya CBG , mtu aliyefaulu vizuri chuo anaweza kusomea course gani nzuri zenye fursa?

    Kasome kati ya hizi kozi. 1. Community development. 2. Law. 3. Psychology. 4. Social work. 5. Sociology. Kama una ufaulu mzuri wa hesabu omba pia kozi za Ardhi kama Land management and valuation.
Back
Top Bottom