sina imani dhabiti na zitto mi naona lowasa angeenda ACT ukawa na ccm wange wafanya ngazi. lowasa kaingia ukawa kumwita zitto na zitto atakuja tuuu na akija ccm wanashinda kwa jeuri kubwa alafu upinzani watapoteana mazimaaaa
Tatizo watu wengi ni washabiki bila kujua ukweli wenyewe. CCM wanajua yooote aliyo yafanya luwasa na udhaifu wake wanaujua wanajua wapi kwa kumkamatia. utaona matokeo mda si mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.