Recent content by Kigodoro

  1. K

    Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

    Too much of everything is harmful. Watanzania wanataka rais anayefanya safari za nje kwa kiasi
  2. K

    Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

    Kauli ya kijinga kabisa hii. Kagame hapendagi Sana ujinga kama huu
  3. K

    Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

    How? Nimeona mpk wenye nchi wamecheka. Maana yake wamefurahia hiki kijembe kwa wazalendo.
  4. K

    Masanja Mkandamizaji: Watu ooh! Mama anasafiri sana. Ulitaka asafiri babaako?

    Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga. Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi...
  5. K

    Mama J, shabiki wa Yanga

    Nataka kujua tu
  6. K

    Mama J, shabiki wa Yanga

    Naomba kuuliza wanaJF. Mimi sifahamu kibamia inakuwa na size gani. Sasa kwa kuwa ya baba J imeonekana hadharani. Je, ile ni kibamia ama mkulungwa?????
  7. K

    Tembea na hisia zako

    Ukiuzuia moyo kumpenda mtu utakuwa unaenda kinyume na hisia zako. Heshimu hisia zako.
  8. K

    Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

    Wapo wa part time kibao. Atakuwa anachakata na kusepa
  9. K

    Rafiki yangu wa ukubwani kafariki kisa ndoa

    Toa hint mkuu. Kuna kundi kubwa la wanaume wanaangamia.
  10. K

    Mwanaume ukitumia aina hii ya chai hutodanganywa kamwe na matapeli wa kutibu nguvu za kiume

    Tena waarabu wana zaidi ya heshima. Wanatwanga mbele mpk kunaanza kutoa cheche. Mwanamke kwa hiari yake anaamua kutoa na nyuma ili kuinusuru mbususu.
  11. K

    Mambo muhimu ya kuzingatia unapomualika mpenzi nyumbani kwa first dinner date

    Swali zuri. Huku kwetu kwa mtogole tunamwalika mpenzi nyumbani kuja kuchakatana tu. Anaingia kwa siri usiku mnene na anatoka alfajiri wakati majirani akina Fatuma mcharuko hawajaamka.
  12. K

    Hivi katiba mpya ni hisani ya kutoka Kwa mtawala ama ni takwa kisheria?

    Katiba ni twkwa la wananchi. Kwasabb katiba mkataba unaoeekeza watawala namna ya kuendesha uchumi na siasa za nchi. Kwahiyo mkataba (katiba) ukiwa mbovu kama huu wetu unaompa mtawala nguvu kuliko wananchi, mtawala ananufaika zaidi. Na haumuwajibishi. Ndiyo maana katiba hii kamwe haiwezi...
  13. K

    RC Shigella: Hakuna mahindi yaliyozuiwa kuingia Kenya kupitia mpaka wa Horohoro, Jana na leo tumevusha tani 570

    Shigella ni aheshimu kauli ya waziri. Anaichafua CCM yetu huyu
Back
Top Bottom