Kauli hii ya kifedhuli ameitoa Masanja Mkandamizaji alipopewa nafasi ya kuburudisha leo hii mbele ya mamilioni ya Watanzania na wana-Afirika Mashariki kwa ujumla, waliokuwa wanafuatilia sherehe za Uhuru wa Tanganyika kupitia runinga.
Kauli hii inawabeza Watanzania wenye moyo wa kuipenda nchi...
Swali zuri. Huku kwetu kwa mtogole tunamwalika mpenzi nyumbani kuja kuchakatana tu. Anaingia kwa siri usiku mnene na anatoka alfajiri wakati majirani akina Fatuma mcharuko hawajaamka.
Katiba ni twkwa la wananchi. Kwasabb katiba mkataba unaoeekeza watawala namna ya kuendesha uchumi na siasa za nchi.
Kwahiyo mkataba (katiba) ukiwa mbovu kama huu wetu unaompa mtawala nguvu kuliko wananchi, mtawala ananufaika zaidi. Na haumuwajibishi.
Ndiyo maana katiba hii kamwe haiwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.