Recent content by kiginga maganya

  1. K

    JamiiForums Tanzania Dkt. Biteko: Nataka niwahakikishie tutawapa umeme Watanzania

    Mbona mgawo wa umeme ndiyo umepamba moto sana, hasa maeneo ya buzuruga mecco kila siku hakuna umeme.kweli haya ni mateso kwa watu.tuikatae ccm hii inatuumiza
  2. K

    JamiiForums Tanzania Boniface Jacob ataja Mawaziri walionunua mahekalu

    Kwani ccm kuna viongozi, au kuna wanyang'anyi tu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Paul makonda anayoyafanya yanabaraka zote za viongozi wa juu watendaji wa serikali kuweni makini

    Mbona watu tunateseka na umeme hiyo serikali anayoiwakilisha mbona hatuoni inachukuwa jitihada zozote za kutatuwa tatizo la umeme?wakati mvua imebyesha kila kona ya nchi imejaa maji?wananchi amkeni tudai haki kwa nguvu ya umma.sisi ndo tunapata shida hawo wasemaje wa serikali wanastarehe tu
  4. K

    JamiiForums Tanzania Mbona serikali imekua kimya kuhusu umeme?

    Toka huyu makonda aingie kwenye nafasi, mbona ndo shida ya imeme inazidi zaidi,Atawapangua watendaje wasiofaa wote na kuweka wengine?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mbona serikali imekua kimya kuhusu umeme?

    Serikali yetu haiwezi ikawa na uchungu na watu wake, kwasababu wao hawaoni shida ya umeme wao wana majenereta yanafanya kazi muda wote na mafuta ya kuziendesha jenereta ni ya umma siyo ya kununua pesa zao.Tunataka tuwe na tume huru ya kuchaguwa viongozi,tunawo wataka tukipata shida kama hii ya...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Je, Kuna Taasisi ya ovyo Kabisa Nchini Kuizidi TANESCO?

    Ni kweli kabisa watawala wameziba masikio hawasikii na kuona shida ya wananchi.Maandamano yanaweza kuwafumbuwa macho.viongozi uzalendo kwa laia wanaoongozwa umekwisha.ina bidi tuamke
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tani Elfu 50 za sukari kuingizwa nchini kukabiliana na upungufu uliopo

    Ni aibu kubwa kwa Taifa kama Tanzania sukari kuwadimika hadi kufikia kilo Tsh6,000.wakati jirani zetu kilo moja ya sukari inauzwa bei ndog o sana chini ya dollar1.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, nani anayekudanya namna hii kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme nchini?

    Umeme ndo diri la wakubwa kujinufaisha wakati wananchi wanaumia.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Umeme ni kielelezo cha kushindwa kwa CCM

    Ubora wa ccm uko wapi?kwa kutesa wananchi?kenya peteroli bei ni ndogo kuliko Tanzania.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mgao wa Umeme, IPTL, Kinyerezi IV, na Pan African Energy Tanzania (PAET) Ltd: Kwa nini tunarudia makosa ya enzi za Rais Kikwete?

    Hii ni aibu kubwa kwa nchi kama Tanzania kukosa umeme, yenye vyanzo vingi vyakuzalisha umeme wananchi inabidi tujaribu kubadirisha viongozi,wanaongoza wameshindwa
  11. K

    JamiiForums Tanzania Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

    Kwa swala la umeme ni kweli kwamba Serikali hii ya sasa haina huruma na wananchi wake. Awamu ya 5 hatukuona shida ya kukatika kwa umeme lakini sasa tangu serikali ya awamu ya 6 iingie madarakani tumekuwa na shida sana ya umeme. Tuliwahi kuwambiwa kuwa gesi inayotokea Mtwara ikikamilika...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Nishati amzuia Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO na wenzake kuhudhuria Mkutano ili washughulikie suala la Umeme

    Hii ni shida kubwa tunayopata kutokana na uongozi wa tanesco kutokuwa imara
  13. K

    JamiiForums Tanzania Lissu atimkia Ulaya baada ya kuharibu

    Mbona Lisu huwa anasema ukweli bila kudanganya watu?kwani hatuoni umeme unavyotusumbua wananchi!na pesa zinatumika vibaya na wenye mamlaka?nahilo ni lauongo?sisi wananchi tunayaamini ya Lisu. ?
Back
Top Bottom