Tanzania Hakuna Mkwamo Wowote Kwenye Umeme, Unachotakiwa Kujua Ni Mambo Ya Hujuma Tu Yanaendelea Kuhakikisha SGR Inakufa KibuduMbona serikali imekua kimya kuhusu umeme??Jee ni nan wa kututoa hapa kwenye huu mkwamo turipo kwa sasa?
Anaitwa Mheshimiwa Dotto Mashaka Biteko Pia Ni NW Mkuu Wa JMTHivi Waziri wa Nishati ni nani?
Maadam birthday ime kwisha sasa tuta sikia kauli ya mwajiriwa wetu namba moja.Mbona serikali imekua kimya kuhusu umeme?Je, ni nani wa kututoa hapa kwenye huu mkwamo tulipo kwa sasa?
Tunamalizia Birthday kwanza hapa kizimkazi, mambo ya umeme mtajua wenyewe,Mbona serikali imekua kimya kuhusu umeme?Je, ni nani wa kututoa hapa kwenye huu mkwamo tulipo kwa sasa?
Serikali yetu haiwezi ikawa na uchungu na watu wake, kwasababu wao hawaoni shida ya umeme wao wana majenereta yanafanya kazi muda wote na mafuta ya kuziendesha jenereta ni ya umma siyo ya kununua pesa zao.Tunataka tuwe na tume huru ya kuchaguwa viongozi,tunawo wataka tukipata shida kama hii ya umeme tuwe tunamuuliza kiongozi tuliyomchaguwa siyo hawo tunao letewa.maana hata kama ukimuuliza atakwambia kuwa haujanichagua weweMbona serikali imekua kimya kuhusu umeme?Je, ni nani wa kututoa hapa kwenye huu mkwamo tulipo kwa sasa?
Toka huyu makonda aingie kwenye nafasi, mbona ndo shida ya imeme inazidi zaidi,Atawapangua watendaje wasiofaa wote na kuweka wengine?MATATIZO YA UMEME NAAMINI KASI YA MAKONDA ALIYOINGIA NAYO ATAYAMALIZA KABISA ATAMWITA WAZIRI NA VIONGOZI WA TANESCO
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Viongozi wazito wana ATS automatic standby generator ziko full tank. Yaani umeme ukikatika hiyo generator inajiwasha automatic ndani ya sekunde chache.Tunamalizia Birthday kwanza hapa kizimkazi, mambo ya umeme mtajua wenyewe,
Kwanza kwetu viongozi haukatiki, pambaneni na Hali zenu,