Pole sana... Ila asikwambie mtu, vitu vyenye addiction ni ngumu kuacha mpaka wewe mwenyewe nafsi yako iamue kuacha... Ukiamua kuacha, amua kwanza kuachana na huyo anayekuharibu, maana ni ukweli usiopingika hatokuoa kamwe... Atakutumia kama kiburudisho tu... Achana naye kisha kaa naye mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.