Recent content by Kifyata

  1. K

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Kama mwaka mpotevu kuona njia si vyema kumtenga.mpokeeni mumuweke kwenye mstari,muonesheni maadili. Kubadilisha tabia yawezekana.
  2. K

    Kujiuzulu kwa Mwanasheria mkuu wa serikali, Kwanini haya hayakuzingatiwa?

    My friend, Watanzania ni waoga sana. Mbuyu huu Chichiemu- una mizizi imeenda chini, hauwezi kung'oka kirahisi kama unavodhani. Angalia hapo kwenye bold
  3. K

    Madudu ya Uchaguzi Mkuu wa CUF haya hapa

    Broo, hata gazeti la udaku hii mada haiuzi. Eti source ni yeye mwenyewe! Pumbafff ni wajinga tu wanaoweza kukubali kufikiriwa. Werevu hufikiri na kutumia akili zao. Kuna maswali mengi ya kujiuliza hapo kwa mtoa mada. Eti Sefu ni zaidi ya Baraza kuu, anakiuka maamuzi ya Baraza kuu- ni lini Baraza...
  4. K

    Mh Godbless Lema na Sadifa Juma Khamis Wanyosheana vidole

    Usishangae sana huyo jamaa anachojua ni mitusi tu. Nenda kwenye mikutano yake kule ZNZ-waungwana wanakimbia hawasikilizi kabisa. Hakuna hoja ila mitusi kwa kwenda mbele tu nadhani Lema anaweza kumshika hadi kieleweke ila kama alivosema mwenyewe ni kwamba hafahamiki hivyo ni kutafuta umaarufu...
  5. K

    Mwaulanga: NGOs haziwezi kukemea ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na wafadhili wao

    Hivi ''NGOs hicho kuwahamasisha wananchi wa nchi za kiafrika kuleta vurugu na hata kusababisha kuziondoa serikali halali zilizo madarakani''au huwaelimisha wananchi juu ya wajibu na haki zao? Inapofika wakati wananchi wakawa na uelewa wa kutosha huamua kusema basi na kutetea haki zao, mara...
  6. K

    Mathias Chikawe: Kikwete asiposaini muswada wa Katiba, atakuwa anatafuta mgogoro na Bunge...

    Mmelikoroga mtalinywa tu. Hapana cha mgogoro hapa. Kinachotetewa ni hoja kwamba Muswada ulichakachuliwa, Wazenj hawakupewa fursa ya kuchangia, halafu mkalidanganya Bunge eti Zenj walishirikishwa! UONGO MTUPU. Lakini huyu anaesema wawalishe hoja wananchi wakiwa bungeni, ni Bunge gani hilo? Bunge...
  7. K

    Chanzo cha kufifia kwa chama cha CUF katika ramani ya siasa Tanzania

    4.ufinyu na chance ndogo ya ushiriki wa wanachama katika kukishauri chama. 5.chama cha CUF kuwekeza zaidi political capital yao Tanzania Visiwani kulingana na ilivyo kwa Tanzania Bara. 6.Kupungua kwa kasi ya kuzisambaza sera za chama kwa sababu amabazo sizijui mpaka sasa labda ufinyu wa pesa...
  8. K

    Ufugaji wa Kuku aina ya Kuchi na masoko yake ndani na nje ya Tanzania

    Hii bei ni ya kawaida kabisa kwa aina ya kuchi kama anaeonekana kwenye picah (Angalia attchment -mdomo wa jogoo wenyewe ni mfupi sanaaa)
  9. K

    Lipumba: CUF itawawekea dhamana akina Ponda

    Huu ufisadi wa kuchakachua kauli za watu. Profesa hajasema kama CUF itawachukulia dhamana watuhumiwa. Alichosema ni kwamba alikwenda Central Police kufuatilia dhamana ya mmoja wa watuhumiwa ambae ni jamaa yake. Alipofika centra akakutana na kufanya mazungumzo na RPC na DP na wakamuomba pia...
  10. K

    CHADEMA imekiri kufadhiliwa kutoka nje ya nchi katika shughuli zake za kujijengea uwezo

    CDM yafaa kukumbuka kwamba wazungu wanasema ''there is no free lunch'' haya misaada yao ya nini wakati tunapigania raslimali zetu zituendeshe? kwanini CDM muendelee kukumbatia na kukodolea macho misaada ya hao jamaa badala ya kukomaa na kuendesha kampeni kabambe kwa raia kuchangia chama chao...
  11. K

    Zanzibar Hatarini zaidi

    Dharau na majivuno, kejeni na majigambo, ubinafsi na choyo chenu ndo unawafanya wazanzibari kudai zanzibar yao. Dharau imezidi mno, hakuna majibu kwa maswali magumu yanayoulizwa na wazanzibar bali manachojua ninyi ki dharau na kejeli tu. Yaani mzanzibari hata kama ni msomi wa daraja gani kwenu...
  12. K

    Jaji Werema: CUF wamevunja Katiba

    Hakuna ushahidi wa CUF kukiuka katiba ya nchi kama inavyodaiwa. SSH sio mwendawazimu wa kusimama hadharani na kusema uongo kweupe. Napenda kumnukuu hapa ''mpaka saa hii (J'mosi jioni)tunazungumza hapa hatujapa hiyo amri ya Mahkama wanayodai''. Mtatiro wakati anaongea na waandishi wa habari...
  13. K

    Jaji Werema: CUF wamevunja Katiba

    Barubaru wacha kuongea pumba. Chama kuingia Serikalini haina maana kila mwanachama atakua na wadhifa sawa na mwengine ndani ya hiyo serikali. Bali pia haimaanisha kwamba kila kiongozi wa chama atakuwa na fursa na nafasi sawa na viongozi wengine serikalini bali kwa upande wa CUF waliopewa nafasi...
  14. K

    Hamad ana wafuasi wengi Tanganyika na Unguja, Seif Anaibeba Pemba

    HR ndo amekwisha. CUF itabaki na itaendelea na harakati za kisiasa. kwa wenye akili timamu na kumbukumbu za kutosha wanajua kwamba kwa Tz CUF ndo chama pekee ambacho kimekumbana na mikiki mikiki mikubwa bila kutetereka huku kikiendelea na MISIMAMO YA KULINDA SERA NA KATIBA YA CHAMA bila kujali...
Back
Top Bottom