Jaji Werema: CUF wamevunja Katiba

CCM ni chama. Serikali si ya CCM. Ni ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

CCM kama chama kinahusikaje na katiba ya Zanzibar?

Sorry kilikuwa hakihusiki kwa sababu Wawakilishi waliopiga kura kupitisha mabadiliko yale haramu ya katiba ya Zanzibar walifanya wakitekeleza maagizo na sera za serikali kwani wao ni watumishi wa serikali.
 
Sorry kilikuwa hakihusiki kwa sababu Wawakilishi waliopiga kura kupitisha mabadiliko yale haramu ya katiba ya Zanzibar walifanya wakitekeleza maagizo na sera za serikali kwani wao ni watumishi wa serikali.

ahahahaaaa Mzee Mwanakijiji hapa umempatia huyu anayefikili kipunguwani!
 
AG yuko right. Imefika wakati sasa wananchi wachukuwe uamuzi mgumu wa kurudisha nchi yao kwenye mstari. Haiwezekani watu 100 wawayumbishe watu zaidi ya 25million sababu ya uhuni wao tu. Hivi vyama sasa ni magenge ya wahuni tu.
 
Naombeni ufafanuzi, kama cuf imevunja katiba kwa kukataa kusikiliza amri ya mahakama, Je serikali ilivyokataa mgombea binafsi baada ya mtikila kushinda kesi, wao hawajavunja katiba?
 
Barubaru wacha kuongea pumba. Chama kuingia Serikalini haina maana kila mwanachama atakua na wadhifa sawa na mwengine ndani ya hiyo serikali. Bali pia haimaanisha kwamba kila kiongozi wa chama atakuwa na fursa na nafasi sawa na viongozi wengine serikalini bali kwa upande wa CUF waliopewa nafasi ''kuingiza bega'' ndani ya SMZ ni kwa mapendekezo ya chama sio matakwa ya SSH.

Ishu ya HR kwisha (kisiasa) haina ubishi tena kwa sasa-tusubiri utaona maana mifano ipo kadhaa. Ila pamoja na utetezi mwingi kwa wanaompenda mtu (HR) hoja ni kwamba CUF ni taasisi ni kwa mujibu wa viongozi waandamizi wa Chama hicho ni kwamba CUF kama taasisi (kwa kuzingatia Katiba yao ya Chama) wamewafukuza uanachama waliokua wanachama wake 13 akiwemo kinara wao HR. Kwa mujibu wa Mh. SSH ni ''kwa bahati mbaya ilitokea kwamba kati ya waliofukuzwa uanachama wa CUF mmoja wao ni mbunge''. Kwa kuwa Katiba yetu ya sasa inaweka wazi kwamba ili mtu aweze kugombea ubunge ni lazima apitie kwenye chama cha siasa na ili mtu aweze kuwa mbunge ni lazima awe mwanachama wa chama cha siasa. Sasa kwe vile HR si mwanachama tena wa CUF walichokifanya CUF ni kumuarifu tu spika wa bunge juu ya uamuzi wa Baraza kuu la uongozi la CUF la kumvua uanachama HR. Kilichobaki ni spika kusoma maamuzi ya CUF, kutafakari na kuchukua hatua kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya Tanzania.
 
Hii ndo down fall ya cuf......cwezi imagine 1st vice president anakiuka cort order then still kuna watu wanampiga madongo Hamad rashid, nani mwenye ahueni hapo, aliyevunja Katiba ya nchi AMA aliyufukuzwa kwa tuhuma za kukiuka Katiba ya chama na bila kupewa muda wa kujieleza
 
Hakuna ushahidi wa CUF kukiuka katiba ya nchi kama inavyodaiwa. SSH sio mwendawazimu wa kusimama hadharani na kusema uongo kweupe. Napenda kumnukuu hapa ''mpaka saa hii (J'mosi jioni)tunazungumza hapa hatujapa hiyo amri ya Mahkama wanayodai''. Mtatiro wakati anaongea na waandishi wa habari alikuja na ushahidi na vielelezo kadhaa vilivyotumika kumtia hatiani HR. lakini sijaona HR akionesha hiyo amri (sahihi) ya mahkama kwa waandishi. Watu (waandishi) wajaribu kumuuliza maswali ya uchokonozi pia HR wasiende tu kuripoti -ve against CUF. CUF chama kubwaaaaaaaaaa.
 
Werema!! huyu jamaa yani ni zero kabisa degree za kudesa zinaliangamiza taifa... alisoma wapi sheria huyo zero?
 
Hakuna ushahidi wa CUF kukiuka katiba ya nchi kama inavyodaiwa. SSH sio mwendawazimu wa kusimama hadharani na kusema uongo kweupe. Napenda kumnukuu hapa ''mpaka saa hii (J'mosi jioni)tunazungumza hapa hatujapa hiyo amri ya Mahkama wanayodai''. Mtatiro wakati anaongea na waandishi wa habari alikuja na ushahidi na vielelezo kadhaa vilivyotumika kumtia hatiani HR. lakini sijaona HR akionesha hiyo amri (sahihi) ya mahkama kwa waandishi. Watu (waandishi) wajaribu kumuuliza maswali ya uchokonozi pia HR wasiende tu kuripoti -ve against CUF. CUF chama kubwaaaaaaaaaa.
Naamini ile court order Hamad rashid aliigawa kwa wandishi wa nyuuuz kwny press conference yake ya mwisho.....na niiiona wakiinukuu baadhi kwny magazeti.......Huyu mtatiro anabonya tuuu mikwanja ya ruzuku na kutumiwa na seif shariff, Kama walivyotumiwa waliomtangulia......
 
Kama cuf imekosa sifa ya kuwa chama cha siasa basi ccm ilkwishako zamani sana na hili Werema hakulijua ? au ndo kunya anye kuku tu ila bata kaharisha! Hata kama watanzania wengi wana vichwa vibovu si kwa kiasi wanachoamini wao, wakikaa kimya napo ni busara tu si lazima waongee
 
AG yuko right. Imefika wakati sasa wananchi wachukuwe uamuzi mgumu wa kurudisha nchi yao kwenye mstari. Haiwezekani watu 100 wawayumbishe watu zaidi ya 25million sababu ya uhuni wao tu. Hivi vyama sasa ni magenge ya wahuni tu.

Nafikiri wengi huko Tz hawajui mipaka ya sheria zenu na hata muungano wenu.

Hakika Werema hana mamlaka yoyote Znz. Mamlaka yake mwisho kigamboni tu. Zanzibar ni nchi na ina mwanasheria wake mkuu na waziri wake wa sheria.

Hivyo ni vizuri kumuuliza mwanasheria mkuu wa Znz kuhusu suala hilo na sio werema. Kwani mkutano ulifanyika Znz na sio Bara.

Ni vizuri mjue mipaka ya werema na sio kumnasibisha na Znz.

 
Sorry kilikuwa hakihusiki kwa sababu Wawakilishi waliopiga kura kupitisha mabadiliko yale haramu ya katiba ya Zanzibar walifanya wakitekeleza maagizo na sera za serikali kwani wao ni watumishi wa serikali.

Siku zote ndoa haramu inazaa watoto haramu.

Muungano wenu ni haramu. Sababu muungano huo ulifikiwa na kupitishwa na Bunge la Mungano. Na mpaka leo baraza la wawakilishi la Zanzibar hawajapelekewa sheria/muswada huo nao ili wauridhie na kuweza kutumika Znz.

Kwa kutoridhiwa na Baraza la wawakilishi utaona kuwa hakuna muungano na Znz na hivyo walivyofanya BLW ni sawa vile vile.

Kila siku wanaomba muswada wa muungano lakini haufikishwi barazani.

Hakuna kosa kwa wawakilishi kwani walichopitisha ni kwa ajili ya Znz na sio Bara. na wao ni wawakilishi wa wananchi wa Znz.

Chungulia katiba utaliona hilo.

 
ahahahaaaa Mzee Mwanakijiji hapa umempatia huyu anayefikili kipunguwani!
Yani wewe ndiyo juha mkuu!
Wabunge ni watumishi wa serikali.
Serikali = Rais + Bunge + Mahakama.
Wabunge si watumishi wa chama ..... Slaa, Mukama hao ni watumishi wa chama.
Think idependently, usifuate mkumbo.
 
Nani mwenye 'court order" hapa atuwekee, ili tukate mzizi wa fitna? Tuone kama kweli ilitolewa saa 3.40 asubuhi kabla kikao cha 'Baraza kuu' hakijaanza....hapo tutajua nani amekiuka amri halali ya mahakama. Suala jengine ni kwamba hiyo amri inawasilishwa wapi na nani kiutaratibu?
 
Lakini,agizo la mahakama liliwafikia CUF saa ngapi? walisaini wakati wa kupokea?

nani wa kujua hili
sheria inasemaje iwapo agizo la mahakama halikumfikia mlengwa kwa muda muafaka
 
Nafikiri wengi huko Tz hawajui mipaka ya sheria zenu na hata muungano wenu.

Hakika Werema hana mamlaka yoyote Znz. Mamlaka yake mwisho kigamboni tu. Zanzibar ni nchi na ina mwanasheria wake mkuu na waziri wake wa sheria.

Hivyo ni vizuri kumuuliza mwanasheria mkuu wa Znz kuhusu suala hilo na sio werema. Kwani mkutano ulifanyika Znz na sio Bara.

Ni vizuri mjue mipaka ya werema na sio kumnasibisha na Znz.

Ubaguzi wenu ndo utakao imaliza znz pia chama hiki si Chama cha znz,na maana yake wa bara kuwa cuf Ni wajinga..
 
Kweli sheria ni msumeno,mbona nae AG werema amevunja sheria? Sheria mpya inasema kwamba ni kosa kuelimisha watu kuhusiana na mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya kama wewe sio member wa kamati ya kukusanya maoni ya katiba,au AG ni member?
 
Siku zote ndoa haramu inazaa watoto haramu.

Muungano wenu ni haramu. Sababu muungano huo ulifikiwa na kupitishwa na Bunge la Mungano. Na mpaka leo baraza la wawakilishi la Zanzibar hawajapelekewa sheria/muswada huo nao ili wauridhie na kuweza kutumika Znz.

Kwa kutoridhiwa na Baraza la wawakilishi utaona kuwa hakuna muungano na Znz na hivyo walivyofanya BLW ni sawa vile vile.

Kila siku wanaomba muswada wa muungano lakini haufikishwi barazani.

Hakuna kosa kwa wawakilishi kwani walichopitisha ni kwa ajili ya Znz na sio Bara. na wao ni wawakilishi wa wananchi wa Znz.

Chungulia katiba utaliona hilo.


Bila shaka inaonyesha ww uko nje ya znz,hivi unavyosema muungano haram hujawahi kujiuliza nani anafaidi muungao kama sio nyinyi wa znz ambao ubaguzi kwenu ni kama kula,
Namchukia sana Maalim seif ni dikteka tena msaliti mkubwa,leo toka kaingia madarakani sijaona alichofanya znz zaidi ya kunywa chai ikulu na kuwageuka wenzake waanzilishi wa cuf,kulikuwa na tatizo gani kwa HR kugombea ukatibu? Chama cha kiimla kabisa hiki hakina tofauti na ccm,toka nasoma Primary mimi Katibu mkuu Maalim seif na Mwenyekiti ni Lipumba,ina maana hakuna wengne wenye sifa za kuongoza cuf mpaka hawa jamaa,hawana mvuto kisiasa tena lakini hawako tayari kuachia madaraka,poleni ndio mnakwenda kaburini pamoja na mme wenu ccm
 
Ubaguzi wenu ndo utakao imaliza znz pia chama hiki si Chama cha znz,na maana yake wa bara kuwa cuf Ni wajinga..

Kama kilivyo Chadema. Chama cha wenye share. Zito hakuwa na share asipewe uenyekiti taifa.

Chama cha kikanda na uswahiba. Kila mwenye share kubwa basi watoto au mke au ndugu zake wanawake wanaingia viti maalum ubunge. Mfano Lissu, Slaa, Ndesamburo, na Mtei yeye katoa mkwe kuwa mwenyekiti.

 
Back
Top Bottom