kwani toyota mark two haifiki bungeni? ndo mjue aina ya watu mnaowachagua wako kwa maslai ya taifa au familia zao,milion tisini inatosha na napendekeza ipunguzwe iwe milion60,hiki ni kipindi cha kazi tuu na sio matumizi yasio ya lazima.
hiyo condition tunaiita pseudopregnant ,na kupima mwapima ktk mazingira gani?ugonjwa wako ni siri kati ya dr nawewe maelezo inatakiwa utumie pm kama unaamini unaongea na daktari, usiexpose tatizo lako namna hiyo.
vijana acheni ushabiki msikilizeni mtu anaongea nini ndipo mtafakari mlio wengi mmekalia kahongwa namchafua lowassa,mnamfahamu lowassa? au ndo ushabiki? ukitaka kuwa mshabiki wa mtu lazima umjue mpaka ndani. na sio ooh msafi amekuwa msafi baada ya kuwa cdm? msiwe wavivu wa kufikilia na kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.