Msichana mwenye elimu ya kidato cha nne anatafuta Kazi yoyote iliyo ya halali, ikiwa mkoa wa Arusha itakuwa vizur zaidi.
NB: Sichagui kazi ilimradi iwe ya halali
Ndugu zangu Mimi ni kijana ninaesomea human resource management diploma, nilikuwa naomba msaada kwa MTU mwenye kuweza kunisaidia iwe ofisi ya serikali au ofisi binafsi. Field ni ya mwezi mmoja kuanzia mwezi wa NNE (4)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.