Dah haya maisha niliyaogopa toka nipo kidato cha sita,mpaka namaliza mwaka wa kwanza nilkua na akiba ya 1 million, brother nilikula mihogo kuvaa mipauko kwa sana hata demu sikua nae
Nilinunua pikipiki used na kuifanya kama bolt oaa since then boom kwangu ni kama kilinda mfuko tuu
Mungu...
Mkuu unatafuta kutapeliwa ingia website yao tafuta email, tengeneza wasifu wako wakibabe(mzuri competition ni kubwa) watumie ikiwezekana omba na appointment alafu MLINZI kazi yake ni usalama sio lazima umuelezee kinachokupeleka wee mwambie nimekuja ninashida binafsi na uongozi, sometimes mavazi...
Sijasoma jarada lako lote ilaa ukristo ulikuwepo hata kabla ya ukoloni na kanisa la kwanza kabisa DUNIANI lilikua Ethiopia nenda kasome uelewe afu njoo tena...kusema dini ya wazungu hapana ila ukusema dini ya utapeli ni kwa sababu watumishi wengi wanatanguliza fedha kuliko neno la MUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.