Kwa wanafunzi na wale wanaoanza practice ya criminal, hizi zinatumiwa kama checklist kwenye trial Subordinate na High Court na appeals High Court na Court of Appeal. unaweza kuokota kitu.
nakubaliana na mtoa mada.
1. Uzinzi ni dhambi, hilo halina mjadala kwasababu vitabu vya dini vinaeleza hilo. uzinzi maana yake ni kufanya mapenzi na mtu asiye mke wako (kwetu sisi wanaume).
2. uzinzi ni kosa la jinai kama umeufanya na mwanamke kwa kulazimisha (bila ridhaa yake). adhabu yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.