Naomba niwape elimu kidogo juu ya submeter.Submeter si mali ya Tanesco.Tanesco inawateja wake wakubwa ambao anaitwa T2 na T3.Hawa wengi ni appartment au hoteli.Mita ya Tanesco ndo inaitwa T2 au T3 sasa unakuta wapangaji wanataka kujua huo umeme wanatumia unaendaje kwa kuhitaji kusoma unit au awe...
Anatakiwa aongee na mwenyenyumba wake ili amsaidie ku apply Tanesco apate mita nyingine ambayo akifika kwa watoa huduma ambao ni TANESCO TUU Aseme anahitaji kufanya meter separation kinyume cha hapo asije kurudi hapa kutoa ushuhuda wa kutapeliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.